Tundu Lissu na jamaa zako mnajifunza nini kutoka kwa Akon?

..TL ameilaumu na kuishutumu serekali.

..hakuna mahali amewalaumu nchi.

..na TL ana hoja za msingi za kuilaumu serekali kutokana na shambulizi la kigaidi dhidi yake.
 
Akon anaishi marekani na maisha yake kayatengenezea huko, inawezekana hayuko familiar na siasa za bara la afrika, angekuwepo kwao wakati akina fodey sankoh na charles taylor wanaua waafrika wenzao makusudi,angekuwepo akashuhudia yaliyotokea afrika ya kati au angejua historia ya Patrice Lumumba au angejua yanayotokea kwa viongozi wa afrika kujibadilishia katiba ili waendelee kutawala asingesema hayo. naamini anayoyaogelea akon ni mambo madogomadogo mno kama vile ujambazi, magonjwa, ufisadi n.k. haongelei uhuru na demokrasia ya kweli wa watu wa afrika

Kuishi Tz mpaka unakufa hakukufanyi kuwa mzalendo unayeipenda Africa.
Marekani mpaka inasettle kuwa nchi iliyoendelea watu wengi sana wameuwa ikiwemo maraisi, haishangazi kuwa huwezi kuiongelea coz kwa wamarekani good branding ya nchi yao comes first.
Na Demokrasia haina maana ya kuichafua nchi na kuongea uongo ambao hauwezi kuuthibitisha kwenye media za kibepari.
 
Tundu Lisu na jamaa zako wenye mtazamo mfinyu juu ya nchi zetu na Africa yetu hata kufikia kuitangaza kwa mambo ya uzushi na ubaya ktk jumuia za kimataifa jifunzeni vitu kutoka kwa mwanamuziki huyu..

Ambaye kwa ukweli anaongea kwa hekima kuliko ninyi nyotel. Badala ya kutafuta kila nafasi unayopata kuipaka matope Tanzania na Africa yetu, angalieni mazuri na muyatangaze hayo!

Hao wazungu wanayo ya kwao lakini wanayaficha badala yake yanatangaza mazuri tu..


Tuambie matope alloipaka tz mkuu!? Ushahidi tafadhali
Kweli kabisa
 
..TL ameilaumu na kuishutumu serekali.

..hakuna mahali amewalaumu nchi.

..na TL ana hoja za msingi za kuilaumu serekali kutokana na shambulizi la kigaidi dhidi yake.

Unahitaji msaada juu ya tafsiri yako ya "Serikali" na "Nchi"

Angekuwa na hoja na vile yeye mnamuita mwanasheria Nguli angefukua kesi.

Kitendo cha kuhangaika kwenye media za kibepari kuongea uongo juu ya nchi ni uhaini unaofaa azikwe hai.

Vinginevyo anakuwa kibaraka kama vibaraka wengine tu.
 
Naomba wapenzi wa huyu mwanasiasa mnivumilie kwa hili.

Kuwa mpinzani sio kupinga kila kitu. Wakati wa utawala wa awamu ya nne wapinzani na wananchi wengi tulilalamika kuhusu utawala mbovu. Tukajizatiti kutafuta MABADILIKO

Sasa tunaona MABADILIKO hamtaki hata kupongeza na mnaona ni dhambi kubwa kumpongeza Mheshimiwa Yohana.

Badilika, ungana na watanzania kuleta maendeleo na sio kuichafua nchi yetu kwa mabepari wanaotutukana, kutubagua na kutudharau

Kwa niliowaudhi mnisamehe. Ni hayo tu.

If you bring me 10 oranges with five good ones and three rotten, I should reject the three rotten oranges right?

If you bring me 10 oranges all of them rotten, naturally I would reject all of them. are you saying I should accept some of the rotten oranges?
 
Tundu Lisu ni less intelligent man hivyo muache jinsi alivyo Dunia itamfundisha kwamba Muzungu hajawahi kumjali Mwafrika hata siku moja, maisha yatamfundisha kwani maisha yatamuadhibu na kumtupa chini tena na tena na tena na tena mpaka aje kutambua kwamba anashindana na Goliath na yeye ndiyo anatakiwa kubadilika na siyo Dunia, Dunia iko jinsi ilivyo na huwezi kuibadilisha!

yaani leo ndio umejionyesha ulivyo tupu kabisa wewe. now I know you have no clue what you are talking about. tena umeonyesha ambavyo TL atashinda all odds. unajua kilichompata Goliath? he was killed by David. now if you are sure TL is fighting Goliath be sure he will win. :D:D:D:D you just made my day
 
Unahitaji msaada juu ya tafsiri yako ya "Serikali" na "Nchi"

Angekuwa na hoja na vile yeye mnamuita mwanasheria Nguli angefukua kesi.

Kitendo cha kuhangaika kwenye media za kibepari kuongea uongo juu ya nchi ni uhaini unaofaa azikwe hai.

Vinginevyo anakuwa kibaraka kama vibaraka wengine tu.

..kuna tofauti kati ya "serekali" na "nchi."

..TL amelaumu waliopiga risasi ni kikundi kilichoko ndani ya serekali na vyombo vyake.

..sasa kama wewe unampinga lete ushahidi wako na sisi tutaupima tukilinganisha na madai ya TL.

NB.

..mwanamuziki eminem aliwahi kusema, " i'm all for america...f*uck the government..."
 
Hata hapa kwetu africa kuna watu wanaonufaika direct or indirect na mauaji au ukandamizaji unaofanywa na serikali zao!hawa lazima watakuwa mstari wa mbele kuonyesha dunia kuwa every thing is okey!! Kwenye harakati za kumwondoa dikteta mobutu sese seko huko zaire(congo) kulikuwa na akina Franco(lwambo lwanzo makiadi)ambao walikuwa kwenye payroll ya mobutu kwa kazi ya kuusifia utawala wake! Leo tanzania ina kambi za kisiasa kwenye kila nyanja,hivi ulitegemea kumsikia diamond akiilaumu serikali kwa shambulio la Lissu?
Mkuu inaelekea hufahamu uhusiano wa Mobutu na Franco kwa undani na mazingira Franco aliyofanyia kazi. Ni kweli kuna nyimbo za kutosha wamemsifu Marshal Mobutu lakini uko ushahidi pia wa nyimbo "zidi" ya vitendo vya dictator huyo.
 
Tundu Lisu ni less intelligent man hivyo muache jinsi alivyo Dunia itamfundisha kwamba Muzungu hajawahi kumjali Mwafrika hata siku moja, maisha yatamfundisha kwani maisha yatamuadhibu na kumtupa chini tena na tena na tena na tena mpaka aje kutambua kwamba anashindana na Goliath na yeye ndiyo anatakiwa kubadilika na siyo Dunia, Dunia iko jinsi ilivyo na huwezi kuibadilisha!
Daaha ukada kaz kweli,,,, akili zinageuka Kuwa matope,,,
 
..wanaoichafua nchi hii ni wale wanaoruhusu wabakaji watoto kwenda Ikulu na kukutana na viongozi wakuu.

..habari hizi zinasambaa dunia nzima na Tz inaonekana ni nchi isiyo na maadili inayotukuza wabakaji watoto.
 
..kuna tofauti kati ya "serekali" na "nchi."

..TL amelaumu waliopiga risasi ni kikundi kilichoko ndani ya serekali na vyombo vyake.

..sasa kama wewe unampinga lete ushahidi wako na sisi tutaupima tukilinganisha na madai ya TL.

NB.

..mwanamuziki eminem aliwahi kusema, " i'm all for america...f*uck the government..."
Unataka ushahidi gani tena...yeye TL kama 'mwanasheria nguli' angepaswa aende mahakamani na kufungua kesi huku akileta ushahidi kuwa waliomshambulia ni serikali...vingenevyo ni utoto na upuuzi! Sasa kukimbilia kwa 'slave masters' ni ugonjwa mbaya sana wa akili!
 
Unataka ushahidi gani tena...yeye TL kama 'mwanasheria nguli' angepaswa aende mahakamani na kufungua kesi huku akileta ushahidi kuwa waliomshambulia ni serikali...vingenevyo ni utoto na upuuzi! Sasa kukimbilia kwa 'slave masters' ni ugonjwa mbaya sana wa akili!

..nyinyi endeleeni kukutana Babu Seya na Papii walawiti watoto na kuwakumbatia.

..mwacheni TL akutane na viongozi wa nchi wafadhili za EU.
 
MOHAMEDI AMIN kwa nini anakumbukwa sana?, ni kwa jambo moja tu kubwa sana, kuijulisha dunia kuhusu waethipoa waliokuwa wakiteketea kwa njaa ili hali serikali haikuwa na uwezo wa kuwasaidia na ikaficha haikutaka dunia ijue kinachoendelea huko ni kwa kuficha huko watu wengi walikufa kule. MOHAMEDI AMIN alitumia kila njia kuifahamisha dunia na msaada ulipatikana. unasemaje kuhusu huyu? hakuwa mzalendo?. kama tunapata EBOLA tunawaomba wao watusaidie kwa nini si kwa mengine?.msilaumu tu huyo anayelalamika yafikirieni pia aliyoyapitia
 
..kuna tofauti kati ya "serekali" na "nchi."

..TL amelaumu waliopiga risasi ni kikundi kilichoko ndani ya serekali na vyombo vyake.

..sasa kama wewe unampinga lete ushahidi wako na sisi tutaupima tukilinganisha na madai ya TL.

NB.

..mwanamuziki eminem aliwahi kusema, " i'm all for america...f*uck the government..."

Mwambie huyo Lisu alete ushahidi kwanza wa hao mnaowaita kikundi kilichopo ndani ya serikali

Na mwanamuziki Akon amesema "National matter are like Family matter, They shouldn't be brought outside"
 
Mwambie huyo Lisu alete ushahidi kwanza wa hao mnaowaita kikundi kilichopo ndani ya serikali

Na mwanamuziki Akon amesema "National matter are like Family matter, They shouldn't be brought outside"

..kwanini siku ya tukio kulikuwa hakuna ulinzi ktk eneo ambalo hulinda 24/7?

..nani alitoa amri walinzi waondolewe?

..kwanini cctv iliyokuwa imeelekezwa eneo alipopigwa marisasi imeondolewa?

..ruhusuni wachunguzi wa kimataifa wasio na upande waone kilichomo kwenye camera. Na wathibitishe kwamba hazijachezewa.

..TL, zaidi ya kuwa Mtanzania, ni mwanaharakati anayejulikana nje ya mipaka ya Tz. suala lake haliwezi kujadiliwa hapa nchini tu, kwani limegusa watu wengi ndani na nje ya mipaka ya Tz.
 
Back
Top Bottom