Broo paschal mm naomba nikuulize swal hv nchi yetu ya Tanzania n nchi inayoongozw kwa sheria jpo znakanyagwakanyagw kwnii mtu hyu aliyesomea chet cha mtu asiwajibishwe? Wakat wpo ndugu zetu waliwajibishw na wengn walikos kaz na kufungw je huon kama hpo Kuna double standard
Mosh hakuna uhaba WA wanafunz Ila ukweli n kwamba wazaz wanapelek watoto wao shule binafs nenda mosh mjn utakut shule nyng za binafs zmejaz watoto toka mwika rombo uchira marangu hyo na weza kusema kilimanjaro kunamwamkk mkubw WA elimu na wazaz hawajarizk na elimu bure
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.