Nimekusoma JFSMA, ni ukweli usiopingika, Dkt. David hakujua anachojitetea. Japo hakuwa waziri wa ardhi, bado alikuwa na uwezo wa kutatua japo migogoro ya wafugaji na wakulima ambayo imepelekea mifugo wengi kuuawa na uhai wa wafugaji ama wakulima kupotea. kuzungumza na waziri wa ardhi kwa maana...
Kombo, hujapata adha ya usafiri kwa maeneo tajwa. swala hili waathirika wakubwa ni wanawake, fikiria hawezi kugombea gari wakati wa kuingia na isitoshe ana mtoto, halafu anasikia tangazo,"mwenye mia tano kuna seat", halafu safari ni ndefu hawezi kusima, ukizingatia msongamano wa magari...
Nimeangalia picha mng'ato na hiyo ngonjera mbona hata sijamuona lowassa unayemtukana? Nafikiri tumuongelee anayeonekana (Ole Medee) ili kama kina kivuli kisichoonekana (Hidden shadow) akaeleze mwenyewe:A S-confused1:
Ndugu wanajamii Forum, naomba mwenye ufahamu wajambo hili atusaidie kujua jibu la swali tajwa hapo ili tujue mwenye biasharahii.
Kwa waliobahatika kusafiri kuelekea mbagara au gongola mboto wakitumia vituo vya mwenge lakini hasa Ubungo Tanesco watakuwawamekumbana na adha hii ambapo kuna kundi...
haijalishi jamaa kaongea kiingereza gani ilimradi umekielewa ukweli unabaki palepale. Haiwezekani kulazimisha kuwahadaa watu kuwa kuna maendeleo ya kitaaluma kwenye hakuna. baraza la mitihani lina watu makini na wenye upeo mkubwa sana chini ya usimamizi thabiti wa Dr. ndalichako. hawa wanasiasa...
kweli ndugu, tukiona hawa ni viraza, tuombeni katiba iwe imewapa nguvu wananchi ya kuwapigia kura wakurugenzi, lkn kama si hivyo, tunaowaita vilaza watatuteulia sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.