Nakubaliana na wewe 100%,Sio kila uwekezaji unaotoka kokote ni uwekezaji wa faida au wakibiashara mwingine ni uhujumu uchumi na hasa ukitokea kwa Economic Power House kama Kenya.Economic Dominance haiji hivi hivi,Bali hats kwa hila,ghiriba uhujumu,ujanja,ulaghai,wizi uongo,nk,nk.Kama nchi...