Recent content by peterkayora

  1. peterkayora

    Askofu Bagonza anahudumu Kanisa gani na kwanini anajihusisha na Siasa za moja kwa moja?

    Unamfahamu Askofu Gwajima? Ulikua unamfahamu Askofu wa Mlima wa moto Marehemu Getrude Rwakate(rip) ss usiwe unapost bila kufikiri
  2. peterkayora

    Picha: Chaneli ya mambo ya Utalii imekuwa chaneli ya Mambo ya Umeme

    Mie nilikua mpenzi sana wa hy chanel ila ss hv kiukwel nishindwa kuielewa nadhani walioianzisha hawakua serious ndio maana wanaanza kuingiza matangazo mengine ambayo kimsingi hayaendani na chanel husika ss hilo swala la Megawati za umeme ingetakiwa waandae ki pindi TBC ndio warushe hy matangazo...
  3. peterkayora

    Kufukuzwa Membe CCM: Hakika siasa ni Mchezo kama ilivyo Karata na Draft

    Ss km sheria inasema hivyo vp kw wagombea waliotoka vyama vingine na kujiunga ccm hy sheria haiwahusu wao au? Eg Mh.Waitara, Mh Mtolea, Mh. Gekul,....... Sent using Jamii Forums mobile app
  4. peterkayora

    Je, wajua mila na desturi vilivyochangia ongezeko kubwa la UKIMWI Kagera?

    Ni lini ss? Sent using Jamii Forums mobile app
  5. peterkayora

    Kauli za Maalim Seif zazua jambo Zanzibar

    Mtolea wa Cuf alihamia lini na akagombea lini? Waitara wa chadema alihamia lini na akagombea lini? Marwa Ryoba alihamia lini akagombea lini?
  6. peterkayora

    Yajue Majina ya Ukoo Katika Makabila mbalimbali Tanzania

    1:WAJITA Nyasatu Nyanyama Rukonge Nyamkubhi Kumbati Makuna Maturi Matubha Nyambofu Nyangeta Nyafita Nyabira Nyangeta Nyabhuruma Nyakwaya Nyandaro Nyafungo Muryaga Mugeta Bugingo Ndilo Kayora Bwire Muswakilo Kasoga Nyanguri Malima Nyamalima Kubhoja Muyengi Muyenjwa Muhongo Masaju Biswaro...
  7. peterkayora

    Yajue Majina ya Ukoo Katika Makabila mbalimbali Tanzania

    WACHAGA Lema Mbowe Urono Uromi Urassa Mmari Masawe Sawi Mmeri Temba Kimaria Kimaro Tairo Jairo Kidoo Tesha Lesha Shonga Mramba Kisanga
  8. peterkayora

    Yajue Majina ya Ukoo Katika Makabila mbalimbali Tanzania

    Wahaya Rutashubanyuma Kokubanzibwa Kokohumuliliza Kagemuro Muganyizi Mulokozi Karumna Kaiza Byabachuezi Rutashobya Kasenene Kamugisha Ntangeki Rushoke Ngaiza Rutabanzibwa Mkunguru Magezi Mujuni
  9. peterkayora

    Ushauri: Yule Mkurugenzi wa Dodoma ayejaribu kuonyesha anajua kuliko Rais afutwe kazi. Katika utumishi wa umma, hiyo ni insubordination

    Mie nadhani wakati mwingine ni busara kukaa kimya kuliko kuchangia vitu ambavyo havina maana na ambavyo uwezo wako wa kuvichambua ni mdogo, yule mtumishi hakuna jambo lolote baya alilolisema yeye alichokifanya ni kuelezea alichoshauriwa na mainjinia ss ww unajifyatua kuchangia ujinga, na kuhusu...
  10. peterkayora

    Isaya Athanas ahukumiwa kifungo cha maisha jela kwa kubaka na kulawiti mtoto wa miaka mitano

    Ndugu kabla hujacoment chochote hebu jaribu kusoma kwanza kilichoandikwa kw umakin, Imeandikwa kahukumiwa kifungo cha maisha ww unaandika eti miaka 5 !?
  11. peterkayora

    Maajabu!: RC Gambo atumia Polisi kuwakamata wamachinga wasio na vitambulisho, adai lengo ni kuwapunguzia usumbufu!

    Kuna vitu vingine sio vya kuweka siasa mbele ww watu wanahoji huo utaratibu wa kuwapunguzia watu kero kw kuwakamata ww unaweka utumbo wako hapo eti majizi chadema akili zikae sawa ss hapo chadema wanaingiaje hapo, ni bora kukaa kimya uonekane na busara kuliko kuongea halafu uongee upumbavu...
Back
Top Bottom