Tairi bovu
JF-Expert Member
- Sep 28, 2017
- 3,063
- 2,983
Mkuu wa mkoa wa Arusha bwana Mrisho Gambo leo ameongoza kamatakamata ya wafanyabiashara wadogo jijini humo akidai lengo ni kuwapunguzia kero.
mkuu wa mkoa huyo aliambatana na RPC aliyedai kupita mtaa kwa mtaa kuwakamata machinga kwamba hiyo ndiyo customer care ya jeshi la polisi
Bwana Gambo unampunguziaje mtu kero kwakumkamata na kumuweka ndani?
je ni kweli bodaboda asipokuja na kitambulisho barabarani anapata usumbufu? ni usumbufu gani huo? mbona hawaruhusiwi kuingia maeneo ya mijini je hii sio kero
(source, eatv habari)
mkuu wa mkoa huyo aliambatana na RPC aliyedai kupita mtaa kwa mtaa kuwakamata machinga kwamba hiyo ndiyo customer care ya jeshi la polisi
Bwana Gambo unampunguziaje mtu kero kwakumkamata na kumuweka ndani?
je ni kweli bodaboda asipokuja na kitambulisho barabarani anapata usumbufu? ni usumbufu gani huo? mbona hawaruhusiwi kuingia maeneo ya mijini je hii sio kero
(source, eatv habari)