Recent content by peter nyambo

  1. peter nyambo

    Waraka kwa vijana wa UKAWA: Ni wakati wa Mabadiliko

    Kuna watu wa aina mbili, naam nyingi, lakini mbili, wanaojua kusamehe na kasahau na wale wenye kinyongo na kutokusamehe, maneno Yao huwakilisha yaliyoko moyoni na hata macho Yao huwakilisha wakisemacho, MSHUKURU MUNGU KWA WEMA WAKE aliokutendea dada yangu, MUNGU huwaangusha wenye nguvu...
  2. peter nyambo

    Waraka kwa vijana wa UKAWA: Ni wakati wa Mabadiliko

    Mama mkubwa upo, hongera, umenikumbusha kitu, mwenye SHAMBA aliajiri vibarua kwa ujira wa sh 2000, wa asubuhi 2000, wa mchana 2000 na jioni 2000. Walipomaliza akawalipa sawa sawa, wale wa asubuhi wakalalamika, hawa wamefanya saa 1 tu, twalipwa sawa? Mwenyewe SHAMBA akawauliza tumepatana vipi...
  3. peter nyambo

    Lowassa ahoji maswali matatu kwa Magufuli

    Atakosolewa tu, hata iwe vipi how come wote tuimbe wimbo mmoja, sarafu ina pande mbili. Ni lazima tujuzane ELIMU BURE ya style ipi?
  4. peter nyambo

    Lowassa ahoji maswali matatu kwa Magufuli

    Kakurupuka dah, kichwa cha habari tofauti na habari kanywe Chai
  5. peter nyambo

    Asilimia za kura za wabunge za ACT-Wazalendo

    Maua ya kondeni, asubuhi lachanua jioni lafa
  6. peter nyambo

    TB Joshua akutana na viongozi wa UKAWA

    Ubongo wa pnzi una ounce ndani?
  7. peter nyambo

    CCM imepata adhabu mkoa wa Kilimanjaro!

    Msisahau kuna kauli kuwa Rais hatoki .......... Sahau.
  8. peter nyambo

    Dar es Salaam - Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2015 kama yanavyotujia

    Waitara VIVA toka ALFAJIRI leo mkuu
  9. peter nyambo

    Kilimanjaro - Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2015 kama yanavyotujia

    Tehetehee tehetehee hapo ni Moshi kwetu, kocha mmbe. TCRA wamevimbia vituo vya TV kutupa uhondo wa kituo kwa kituo hadi Tume itangaze
  10. peter nyambo

    Yaliyojiri: Mkutano wa kufunga kampeni za CHADEMA - Jangwani, Dar - Okt 24, 2015

    Talk talk too much is harmful, Edward ni chaguo langu
  11. peter nyambo

    Yaliyojiri: Mkutano wa kufunga kampeni za CHADEMA - Jangwani, Dar - Okt 24, 2015

    Asubuhi njema waungwana, lete update mkuu
  12. peter nyambo

    Maandamano ya CCM Moshi Mjini

    Huo ni ubaguzi kama wachaga wameenea, Waha, Wapare, Wanyakyusa, Wasukuma na makabila mengine wako wapi?
  13. peter nyambo

    Edward Ngoyai Lowassa alishiriki vita vya Kagera

    Salute and respect sir edward lowasa 😀😁😀🙌💘✌👏🌼🍀🚠🚡👆
  14. peter nyambo

    Mnamdanganya Magufuli kwa faida ya nani?

    Tehetehee tehetehee kiaina mnanifurahisha, mitusi yoote ya nini, 25/10/2015 judgment day, aliyefanya vyema tutamwona tu, MPANGO wa MUNGU mwanadamu huwezi kuupinga, tumeanza na MUNGU na tutamaliza na MUNGU na MUNGU atuongoze tumalize salama.
Back
Top Bottom