Recent content by Peter Mwaihola

  1. Peter Mwaihola

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Mambo 10 ya kuzingatia wakati wa Kampeni za Kisiasa

    Je umetia nia kugombea uongozi wowote katika Uchaguzi Mkuu na unapanga kufanya kampeni ili uchaguliwe? Elewa mbinu na mikakati ya kufanya kampeni kwa mafanikio. 1.Hatua ya kwanza ni kusoma hali ya kisiasa ilivyo. Hapa unatakiwa kuangalia umma wa watu unaotaka kuwaongoza unahitaji nini hasa...
  2. Peter Mwaihola

    JamiiForums Tanzania Uanaharakati ni kujitoa sadaka kwa ajili ya wengine

    TUJENGE HOJA HAPA Kwenye harakati za kisiasa inaelezwa kuwa kadri harakati zinavyopamba moto ndivyo wanaharakati hupitia wakati mgumu ikiwemo kuwekwa kizuizini wakati mwingine hata kupoteza maisha kwa sababu hakuna dora inayokubali mageuzi kwa wepesi pasipo kuyalinda kwanza. Zimbabwe...
  3. Peter Mwaihola

    JamiiForums Tanzania Kumbukumbu; Leah Ulaya, Maganga Walivyogomea uteuzi wa Rais kisa CWT

    Mwezi Septemba, 2023 Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan alimteua aliyekuwa Rais wa chama cha walimu Leah Ulaya kuwa mkuu wa Wilaya ya Mbogwe mkoani Geita, hata hivyo Leah aligomea uteuzi huo wa Rais hakwenda kituo cha kazi alichoteuliwa. Sambamba na uteuzi huo Rais pia alimteua aliyekuwa wa...
  4. Peter Mwaihola

    JamiiForums Tanzania Nikifikiria kuhusu hii dunia, akili yangu inahama

    Kuna muda akili yangu inahama kabisa nafikiria mbali sana kuhusu hii dunia Nikipita mtaani watu wanajenga majumba makubwa Kama mahekalu najiuliza wenzetu wanatoa wapi hizi hela? Tazama hii fensi gharama yake si inatosha kabisa kujenga nyumba ya kisasa ya vyumba vitatu? Najiuliza kimya kimya...
  5. Peter Mwaihola

    JamiiForums Tanzania Hoja 10 za Askofu Gwajima zinazosubiri kujibiwa kwa hoja

    Hizi ni hoja kumi alizozitoa Mbunge wa Kawe Askofu Gwajima akihoji na kushauri. 1.Kuna wimbi la utekaji, na uvamizi wa kikatili wa raia pasipo hatia wala utaratibu wa kueleweka. 2.Vyombo vya ulinzi nchini havijaeleza kushindwa kushughulikia matukio ya utekaji wa raia kwanini hatua hazichukuliwi...
  6. Peter Mwaihola

    JamiiForums Tanzania "Kill The Boer" Ilivyotikisa The White House

    🤪🤪
  7. Peter Mwaihola

    JamiiForums Tanzania "Kill The Boer" Ilivyotikisa The White House

    "Dhubul iBhulu! Kill the Boer, Kill the Farmer, Victory is certain". Kauli tata iliyomuweka kikaangoni Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa mbele ya Rais wa Marekani Donald Trump walipokutana mei 21, 2025 Ikulu ya Washington DC. Je kauli inayomkaanga Ramaphosa ilitoka kwenye kinywa cha nani na...
  8. Peter Mwaihola

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je bado wanawake wa Kijijini wanadumu kwenye ndoa za mjini?

    Kuna dhana kuwa ni bora kijana wa mjini kuoa mwanamke wa kijijini kwa sababu hudumu zaidi kwenye ndoa kuliko wanawake wa mjini ambao wengi wao ni wajanja wajanja. Watu wengi wenye mtazamo huu huzingatia kiwango cha heshima, uchapakazi na utulivu wa tabia kwa wanawake wa mjini ukifananisha na...
  9. Peter Mwaihola

    JamiiForums Tanzania Zijue faida za kuoga mwili mzima kiafya

    Je wewe ni miongoni mwa watu wanaokwepa maji, kila ukiwaza kuoga unapata uvivu na kuogopa baridi? Kuoga kuna raha yake na kuna manufaa makubwa katika maendeleo ya mwili wa binadamu. Sasa leo hii tuangazie umuhimu wa kuoga, sio kuoga tu yaani kuoga mwili mzima kiafya na kiakili. Hizi hapa faida...
  10. Peter Mwaihola

    JamiiForums Tanzania Serikali inaweza kulinda madaraka yake?

    "Serikali ni watu waliochaguliwa na watu kwa manufaa ya watu" Kwa mantiki hii serikali ni mali ya wote na haipaswi kumilikishwa kwa watu wachache. Kikundi cha watu "Chama Cha siasa" kinachoshinda kuongoza serikali hakipewi hatimiliki ya taifa kuwa kitaongoza milele. Iwapo serikali itawajibika...
  11. Peter Mwaihola

    JamiiForums Tanzania Bei ya Mahindi haishikiki sokoni

    Wakati wananchi wa Tanzania wakilalamika kupanda kwa bei za nafaka sokoni hasa bei ya mahindi hali hiyo imekuwa gumzo zaidi nchini Malawi. Kwa mujibu wa bei elekezi iliyotolewa na wizara ya kilimo ya nchini Malawi kilo moja ya mahindi inauzwa kwa kwacha 1050 ambayo ni sawa na Tsh 1600 bei...
  12. Peter Mwaihola

    JamiiForums Tanzania Ukweli wa wazi: Kidonda cha CHADEMA kimepata dawa inayowasha

    Kumekuwa na vuguvugu na dalili za mgawanyiko kuhusu msimamo wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA kupitia kaulimbiu No Reforms No Election iliyoasisiwa na chama hicho chini ya mwenyekiti wake Tundu Lisu. Mgawanyiko huo wa kimtazamo unatokana na kampeni ya kutoshiriki uchaguzi pasipo...
  13. Peter Mwaihola

    JamiiForums Tanzania Kwanini Rais wa Ukraine havai suti? Majibu haya Hapa

    "Kwanini hauvai suti, je unamiliki suti, wamarekani wengi wanakushangaa kwanini hujavaa suti kwamba hauheshimu ukuu wa ofisi ya White House"? Brian Glenn mwandishi wa habari wa marekani alimuuliza Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky alipotembelea Ikulu ya Marekani kwa ajili ya mazungumzo na Rais...
  14. Peter Mwaihola

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake hatari wa kuwakwepa 2025

    😂😂 Kwanini?
Back
Top Bottom