Recent content by PETER MICHAEL MAIKO

  1. P

    JamiiForums Tanzania Msaada: Achague kozi gani kati ya hizi zifuatazo?

    Namba moja ni nzuri sana anaweza hata kujiajiri mwenyewe akapiga pesa
  2. P

    JamiiForums Tanzania Mawaziri Selemani Jafo na Dotto Biteko watunukiwa PhD ya Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM)

    Hongera sana naamini PHD yako itakuwa chachu ya ufanyaji kazi na kufikia malengo ya serikali. BRAVO KAKA
  3. P

    JamiiForums Tanzania TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Inachukua muda toka kuwasiliasha form ya maombi, kuja surveyor kukagua, kupata control namba na kuanza kupata huduma?
  4. P

    JamiiForums Tanzania Bei za bidhaa

    Korie kaka
  5. P

    JamiiForums Tanzania Bei za bidhaa

    Naomba tushare bei za bidhaa tofauti kutokana na maeneo tunauoishi Niko kinondoni bei ya ndoo ya mafuta lita kumi ni 50,000 mpaka 48,500
  6. P

    JamiiForums Tanzania Sheria ya utumishi wa umma ya mwaka 2009 inaruhusu mwajiri kumfukuza mtumishi akiwa kwenye uchunguzi?

    Khabari za mchana wanandugu wote humu ndani. Napenda kushare nanyi jambo moja ambalo linanitatiza sana na sijapata bado sijalipatia suluhisho kabisa Jambo lenyewe ni kuwa nna jamaa yangu alikuwa mtumishi katika ofisi mija ya serikali akapata chagamoto wakamsimamisha kisha akaachishwa lakini...
Back
Top Bottom