nimekua nikijuuliza kwa mda sana ni namna gani app developers wananufaika na app zao, na je unaweza kutengeneza shingapi kwa kila app uliyotengeneza naombeni msada wenu wakuu kw mwenye ujuzi.
Sent using Jamii Forums mobile app
habari wakuu na jua mnaendelea vyema na majukumu ya kujikwamua kimaisha tuko pamoja naombeni msaada wenu kwa yeyote mwenyewazo la aina gani ya app nitengeneze itakayo nisaidia kutatua matatizo ya watanzania kiurahisi kupitia app na itakayo weza kunitengenezea pesa ...
Sent using Jamii Forums...
Nashukuru san mkuu kwa ushauri wako mzuri so kama wanaweka adds zao baada ya kupata user 1k unanishauri nifanye nini kaka au utanisaidiaje mana na hamu ya kuanzisha social network yangu mwenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Je kuna utofauti gani kati ya forex na bitcoin na je ni biashara gani kati ya hizo ni rahisi kufanya na inakupaje pesa na je nashauriwa kufanya biashara ip kati ya hizo mbili??
Guys naomba ushauri wenu kuhusu hii biashara je ni ya kweli na inafaida !!
JAMALIFE HELPERS GLOBAL.
Jamalife helpers global ni shirika lisilo la serkali la kimataifa linalo wezesha wanachama wake mfumo wa kujikwamua kiuchumi duniani kwa njia ya Mtandao.
Makao makuu yake yapo Belgium na...
Pata kitabu cha siri za kujajirika kwa shilingi 3000/= kwa soft copy ( nakutumia watsapp) na 6000 hard copy mawasilino 0744951631 kwa maelezo soma hapachini kwenye hii picha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.