Recent content by peter babagody

  1. peter babagody

    GE2020 Mnyika: Sakata la Wabunge wa Viti Maalum limehusisha mfumo wa Serikali kufifisha ajenda ya 'Uchaguzi haramu'. Ahoji Nusrat kuteuliwa akiwa gerezani

    Kama tunakumbuka msimamo wa Chadema ni kutotambua matokeo ya uchaguzi mkuu wa mwaka huu na walisema hawatateua wabunge wa viti maalumu sasa ukiangalia kwa jicho la mbali utagundua mambo mengi mfano; Chadema wanatambua kabisa hawawezi kuteua viti maalumu kwa kuwa kwakufanya hivyo watakuwa...
  2. peter babagody

    GE2020 RC Chalamila: Mitandao ya kijamii kutoweka hewani hakuhusiani na uchaguzi, huwa inatokea wakati wowote

    Hapo ndo kunatofauti ya vijana wa ccm na chadema , ccm hawana maneno mengi sasa hivi wapo vituoni wanapiga kura ila vijana wengne wapo mitandaoni wanatafuta updates
  3. peter babagody

    Kero: TCRA mlisema local channel ni bure mbona zinalipiwa?

    Serikali wameshindwa vipi kusimamia sheria kuhusu vin'gamuzi? Serikali kila siku wanatoa matangazo kkuhusu chaneli za bure lkn hakuna utekelezaji unaofanyika badala yake wanatumia raia kutoa taarifa ina maana wao hawaoni? Hata njia wanazotumia ili kupata taarifa ni ngumu kweli kwa watu ambao...
  4. peter babagody

    CHADEMA tujitathmini upya kama hii mbinu ya kuwazulia kashfa ya vyeti wabaya wetu itatuvusha 2020

    Kuna binadamu alisema anavyeti vya Makonda sasa mpaka Sasa hajaonyesha
  5. peter babagody

    Dar kuna wingu kubwa lakini mvua hainyeshi

    Lazima lishuke naona limeanza
  6. peter babagody

    CHADEMA acheni unafiki mlishawahi kutangaza list of shame

    Watanzania tunasahau tulipotoka mpaka tunaanza kushutumiana kwa lengo la kukwamisha jitihada zinazoendelea za kufuta au kutokomeza mtandao wa madawa ya kulevya Leo Bunge letu tukufu linaweka maazimio ya kukwamisha juhudi kwa kauli ya Makonda kuwa wanasinzia bungeni!? Leo hiyo imekuwa kauli...
  7. peter babagody

    Naombeni msaada website au link ya movie zilizotafsiriwa

    Kama hapo juu naombeni mnisaidie kupata movies zilizotafsiriwa kiswahili
  8. peter babagody

    Kauli hii ya Kardinal Pengo,inatukumbusha "upande wa pili" wa Kanisa Katoliki

    Hoja yako haifai Kuna viongozi wengi wa makanisa Wana hoja tofauti hata walio ndani ya kanisa katoliki juu ya kile unachokiwaza Kwa sababu wewe ni wamlengo tofauti basi unaona kiongozi hafai kutoa maoni yake binafsi.. Mbona hukusema kuhusu Mzee wa upako kwa kauli yake kama ya Kadinari Pengo...
  9. peter babagody

    Kauli hii ya Kardinal Pengo,inatukumbusha "upande wa pili" wa Kanisa Katoliki

    Kwaiyo ulitaka aseme maisha magumu.. punguani kabisa
  10. peter babagody

    Namba ya simu na sms aloisoma Tundu Lissu mbele ya waandishi wa habari hii hapa

    Haya ni mazingaombwe tu inshu kubwa ipo chadema
  11. peter babagody

    Video

    Inasikitisha hii ya bwana Max Melo
Back
Top Bottom