Kama tunakumbuka msimamo wa Chadema ni kutotambua matokeo ya uchaguzi mkuu wa mwaka huu na walisema hawatateua wabunge wa viti maalumu
sasa ukiangalia kwa jicho la mbali utagundua mambo mengi mfano;
Chadema wanatambua kabisa hawawezi kuteua viti maalumu kwa kuwa kwakufanya hivyo watakuwa...
Hapo ndo kunatofauti ya vijana wa ccm na chadema , ccm hawana maneno mengi sasa hivi wapo vituoni wanapiga kura ila vijana wengne wapo mitandaoni wanatafuta updates
Serikali wameshindwa vipi kusimamia sheria kuhusu vin'gamuzi?
Serikali kila siku wanatoa matangazo kkuhusu chaneli za bure lkn hakuna utekelezaji unaofanyika badala yake wanatumia raia kutoa taarifa ina maana wao hawaoni?
Hata njia wanazotumia ili kupata taarifa ni ngumu kweli kwa watu ambao...
Watanzania tunasahau tulipotoka mpaka tunaanza kushutumiana kwa lengo la kukwamisha jitihada zinazoendelea za kufuta au kutokomeza mtandao wa madawa ya kulevya
Leo Bunge letu tukufu linaweka maazimio ya kukwamisha juhudi kwa kauli ya Makonda kuwa wanasinzia bungeni!?
Leo hiyo imekuwa kauli...
Hoja yako haifai Kuna viongozi wengi wa makanisa Wana hoja tofauti hata walio ndani ya kanisa katoliki juu ya kile unachokiwaza
Kwa sababu wewe ni wamlengo tofauti basi unaona kiongozi hafai kutoa maoni yake binafsi..
Mbona hukusema kuhusu Mzee wa upako kwa kauli yake kama ya Kadinari Pengo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.