Recent content by Pesanyingi

  1. P

    Ni kwa nini wadada wa kichaga hawana mapenzi ya kweli?

    Acha acha acha kabisa na kaa mbaliii.
  2. P

    Mimi ni mwanaume ninayeonewa na mke wangu, Dkt. Gwajma nisaidie

    Unapo sema kipato chako duni kwani hulipwi mshahara?.
  3. P

    Msaada wa tiba

    Ndiyo kama itawezakana nitashukuru.
  4. P

    Msaada wa tiba

    Anayefahamu tiba iwe ya mitishimba au za hospitali kwaajili ya tatizo(ugonjwa) wa baridi yabisi tafadhali.
  5. P

    KERO CT scan na MRI kwanini mgonjwa hapewi option ya kuchagua?

    Matibabu uliyoyapata yalikusaidia ndug?
  6. P

    Amedai Talaka ili wagawane Mali kumbe mume nyumba zote kaandika majina ya watoto!

    Baada ya kufeli jaribio lako la kishetani ndiyo unatafuta ushauri ila ungefanikiwa wala usingejali. Pambana na huyo mpenzi mpya mjenge nyumba zenu. KATAA NDOA KIMBIA NDOA KIJANA
  7. P

    Hivi mtu na akili zako timamu unawekezaje milion 10 Ili ikuletee faida ya elfu 99 m wekeza huu ni ukichaa

    Si ungemwambia huyo rafiki yako hichi unachokisema kwasababu upo nae?
  8. P

    Ibenge ndani ya Azam, ligi kuu itakuwa na moto sana

    Wengine wanasubiri wachezaji na makocha wasiokuwa na mikataba ndiyo wawasajili huku wakitaka matokeo makubwa.
  9. P

    Mke wangu huwa ananiwekea chakula kidogo kwenye sahani sishibi, kumuambia naona aibu

    Yani fedha utafute wewe, mke uowe wewe na bado unamuonea aibu. Kuna tatizo sehemu siyo kawaida.
  10. P

    Kwa wanaume; Hii imekaaje??

    Acha uzinzi na uwasherati mara moja. Alafu kuna mtu atakuja jichanganya hadi na kufanya sherehe kuoa mtu anayelazimisha hadi kuvuta nyeti mbalimbali za wanaume.
  11. P

    Mrejesho baada ya kuingia kwenye mahusiano na binti mwenye mimba

    Muache apambane na hali yake shukuru sana kuruka huo mtego. Yaani mtu ameshuhulishwa huko hadi kapata mimba we unataka kubeba mzigo wa wenzio.
Back
Top Bottom