Wakuu mabibi na mabwana...selection ambazo zilitazamiwa kutolewa mwanzoni mwa mwezi huu zitachukua muda kidogo hii ni kutokana na kugundulika kwa udanganyifu,na kuna watu wamefanya application Mara mbili kwa cheti kimoja miaka miwili tofauti...!!!kama unawasiwasi na cheti chako jiandae...
Tunaendelea....
Alinambia maneno haya"nimemuona F sehemu Fulani je uko tayari twende kumuona''F ni herufi ya kwanza katika jina LA binti yule...!!!
Nilipigwa na butwaa nikamuuliza ulikua na lengo la kunikutanisha nae ndo maana umenileta hapa..??akanijibu hapana hata yeye kashangaa...
Tena hua namuona akiwa amebeba mtoto mdogo...!!!niliumia kusikia maneno Yale maana nilijua anaweza akawa tayari kashaolewa...!!!
Hatimae muda ukifika ambapo nikifanya mtihani wa kidato cha NNE,muda wote huo sikua na mahusiano na mwanamke yoyote yule...ilifikia muda mtaani na hata familia...
Kwa jina naitwa Mr.beca ni mzaliwa wa mkoani Dodoma...!!!mnamo mwaka 2001nikiwa darasa la tano nilitokea kuvutiwa na binti mmoja ambae kiukweli nilimpenda sana...tena sana!!katika kipindi hiko yeye pia alitokea kunipenda ila hakuna ambae alipata ujasiri wa kufunua mdomo na kumtamkia mwenzie neno...
Walituweka wazi
Juu ya hili...walituweka wazi kwamba kati ya wiki ya mwisho ya mwezi wa sita au wiki ya mwanzo ya mwezi wa saba...ndo maana inabidi tutegemee hivyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.