Swahiba achana na mawazo hayo,mweleze mke wako Kwa utulivu namna ambavyo hufurahishwi na tabia yake ya kukuhusisha unatembea na ndugu yake wakati sio kweli,
Unajua kwanini unaanza kumchukia mke wako?humchukii mke wako kwasababu ya kukuhusisha na kuwa na mahusiano na mdogoake au labda kwasababu...
Siku zote ubaya huvuma kuliko wema,wanaolizwa na mapenzi ni wachache kuliko wanaofurahia,ila wanaofurahia mapema hawaweki hadharani furaha Yao,
Pamoja na kufurahia huko siku ikatokea hata Kwa bahati mbaya mwenza wake akakosea tayari nyuzi ya malalamiko itaanzishwa,kashasahau Yale mema...
Wengi tinashabikia bila kujua utaratibu upoje,Mwigulu yupo sahihi kabisa,Sasa tunaacha kuungana naye Ili tumpate mwizi wetu sisi tunamkomalia yeye kama Ndo mwizi wetu,halafu wahusika wapo pembeni kimyaaaa!mwisho wa siku kwasababu Mwigulu yupo sahihi hawezi chukuliwa hatua yoyote na jambo lenyewe...
Hii kitu 50/50 imefanya ndoa nyingi sana za miaka ya hivi karibuni zisidumu,Hawa wenzetu wanashindwa kutofautisha wapi waitake hiyo 50/50,wao Kila sehemu wanataka haki sawa,kitu ambacho naturally hakiwezekani,na ni wanaume wachache sana wanaokubali kupokwa majukumu Yao na haki zao Kwa kisingizio...
Pole sana ndugu yangu, hata kama kwao hufahamiki naomba nenda kwao kawaeleze uhalisia huu wote wazazi wake na ndugu zake,na uwaambie dhamira Yako ilikuwa ni kumwoa binti Yao lkn Kwa yaliyokutokea ni ngumu kwako kuishi naye japo unampenda sana,kama wazazi wake ni wastaarabu na waelewa tayari hiyo...
Hapa unakosea,hayo makabila unayoyataja kama sio Watanzania Ndo yalikuwa mbele sana kuhakikisha nchi hii haitawaliwi na Wakoloni,Ili Watanganyika tujitawale wenyewe?ni kweli sisi Wangoni tulitokea huko Afrika kusini lkn ni vizazi vya 1800 huko,kuanzia miaka 1900 vizazi vyote vilishiriki mwanzo...
Asikudanganye mtu kuwa asiyekusisitiza condom kwamba yeye hagawi,huyo anayekusisitiza kutumia condom anajali afya yake na pia anakwepa mimba zisizotarajiwa,lkn asiyesisitiza matumizi ya condom yeye kajikita kwenye kuepuka mimba tu habari ya magonjwa (STDs) haogopi,,,na ndio maana wasichana au...
Ni bora ukikutana na anayekulazimisha kutumia condom kuliko anayependa kuliwa kavukavu,jiulize kaliwa kavukavu na wangapi huko nyuma kabla yako?usalama Wa afya yake upoje?condom is the best answer
Sasa kama hujawahi ifungua hiyo pm yako na umesema wakufuate pm,ulimaanisha nini?huoni kama unawakatisha tamaa wanaoweka nia kutokana na haya mabandiko?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.