Recent content by Per Diem

  1. Per Diem

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Uberigiji? Ndio maana zimechana
  2. Per Diem

    Mshana Jr ndiye GOAT wa JF

    Kujibu comment napo ni jambo la kumsifia mtu?
  3. Per Diem

    Ndege ya Rais yaonekana Dubai, Saudi Arabia

    Faiza anajua
  4. Per Diem

    KWELI Ndege ya Rais yaonekana Dubai, leo Julai 28, 2023

    Safari hii mlima Kilimanjaro
  5. Per Diem

    Kupanda bei ya mafuta siyo dola kupaa bali ni ufisadi wa kutisha wa EWURA

    Gombania goli ni toka enzi ya mkapa. Labda kama tumesahau jinsi watu walivyokua wanajilia watakavyo
  6. Per Diem

    UVCCM Chato: Hatutaruhusu kuona hata hatua moja ya Tundu Lissu ikikanyaga Chato. Tupo tayari kwa lolote

    Mnashindwa kuelewa, Lissu alimpinga Magufuli kwa Yale ambayo Magufuli alikosea na si vinginevyo. Hii haihusiani kabisa na kukubaliana nae kwa yale aliyopatia
  7. Per Diem

    Serikali ivunje Mkataba na hospitali za Kanisa, ielekeze hizo Bilioni 30 kwenye Matibabu ya wazee na wajawazito

    Agakhan ni hospital ya waislamu? Kivipi? Usifananishe hospital inayomilikiwa na muislamu na hospital ya waislamu Mfano mimi Joseph niwe na hospital huwezi sema ni hospital ya wakristo Hospital tunaposema ni ya wakristo maana yake inamilikiwa na kanisa na sio mtu binafsi.
  8. Per Diem

    Serikali ivunje Mkataba na hospitali za Kanisa, ielekeze hizo Bilioni 30 kwenye Matibabu ya wazee na wajawazito

    Hospital ya souktour[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Shule muhimu sana. Hiyo souktour nimecheka sana, mkiambiwa someni nyie mnakazania kupiga madufu
  9. Per Diem

    Tumeacha kutetea bandari zetu sasa tunatetea mwekezaji muislam, waziri muislam na rais muislam!

    Hapo ndio uone hapa wavaa kobazi ni watu wajinga haswaa
Back
Top Bottom