Recent content by pepeter

  1. P

    CHADEMA tusiposhinda 50% serikali za mitaa lazima tujihoji

    Kama kule Simiyu, Bariadi, wamempa mama mmoja agombee na tayari wananchi wameanza kumkataa kabla ya uchaguzi, eti anafuga wezi, Chadema angalieni sana hilo!! hapa kuna kitu!!
  2. P

    Jaji Warioba: Ripoti ya PAC ni dhaifu

    Kwa wanachi tulio wengi, sakata la Escrow, hasa kwenye ripoti,bado haijaeleweka, sababu kubwa ni makaratasi yaliyo mengi ya ripot hiyo, na watanzania wengi suala la kusoma hata vitabu ni shida, hivyo naamini ripoti hii ya escrow hajasomwa na wengi hasa watanzania.Kilicho baki hapo ni ushabiki...
  3. P

    Kinana na Timu yake leo watafanya mkutano mkubwa wa hadhara katika Mji wa Mtwara

    Kinachofanyika hapo mtwara, ni kuwaondolea vijana hali ya umaskini, sasa tuangalie ni chama gani kilichowahi, kuonyesha hali ya kuondoa umaskini hpo mtwara pia Lindi, jibu hakuna!!hivyo kufanya hivyo kwa ccm, ni mipenyo ya kufikisha ujumbe kwa wananchi, kwamba wanawajali, kwa hiyo tunaomba vyama...
  4. P

    Mikoa tisa kuiondoa CCM madarakani

    Nimefanya utafiti, nimegungua, uchaguzi wa serikali za mitaa, ccm itashinda, kwa sababu wengi wanachama wa Chadema, hawajajiandikisha, ila wamebaki ni waongeaji tu, sasa wakipata viti vingi kwenye uchaguzi huu hawa ccm, huo ndiyo utakuwa ushindi wa general election 2015.tuwe makini!!
  5. P

    Rais yuko Marekani Matibabuni,Rais Mtarajiwa Matibuni Ujerumani

    Tutawaza sana, lakini suluisho lipo.
Back
Top Bottom