Nimefanya utafiti, nimegungua, uchaguzi wa serikali za mitaa, ccm itashinda, kwa sababu wengi wanachama wa Chadema, hawajajiandikisha, ila wamebaki ni waongeaji tu, sasa wakipata viti vingi kwenye uchaguzi huu hawa ccm, huo ndiyo utakuwa ushindi wa general election 2015.tuwe makini!!