Recent content by Pepe kale

  1. P

    Serikali ikimulike kiwanda cha nguo cha urafiki. Huu ni ushauri wa bure kwa waziri wa viwanda atakayeteuliwa

    Wakati kinabinafsishwa, kwa Serikali kupitia Hazina kumiliki asilimia 49 na kampuni ya Kichina asilimia 51,
  2. P

    Serikali ikimulike kiwanda cha nguo cha urafiki. Huu ni ushauri wa bure kwa waziri wa viwanda atakayeteuliwa

    Baada ya uchaguzi kuisha na uteuzi wa Waziri Mkuu na uundwaji wa Baraza la Mawaziri kukamilika, ninaishauri SERIKALI kupitia kwa Waziri wa VIWANDA, biashara na uwekezaji akimulike kiwanda cha NGUO cha urafiki kinachojulikana Kama (TANZANIA-CHINA FRIENDSHIP TEXTILES CO) kilichopo Ubungo jijini...
  3. P

    Tumieni VPN kama internet iko slow sana

    Nenda Google search EXPRESS VPN, kisha itakuja Kama inavyoonekana kwenye picha hapo, ukishadownload install, Kisha chagua try free trial , weka email yako Kisha utakua umebakiza setting chache rahisi kuendelea kuperuzi mitandao ya kijamii, free trial ikiisha muda wake uninstall uinstall upya...
  4. P

    Polisi wawajibike ajali ya daladala Temeke

    Kipindi cha corona watu walikua wanakaa level seat na hawabaki vituoni na wanawahi kufika mapema, na kuhusu muda wa alfajiri, jeshi la polisi linafanya kazi kwa Massa yote 24 , tupo pamoja?
  5. P

    Vibanda vilivyowekwa pembezoni mwa barabara ya Morogoro jirani na kituo cha Polisi Urafiki, mbele ya ofisi za Shabiby Line, vitakuja kusababisha ajali

    Ukiwa hapa urafiki karibu na kituo cha Polisi, mbele ya ofisi za mabasi ya SHABIBY line, Kuna vibanda vimepangwa barabarani na wafanyabiashara, Hali inayopelekea sisi madereva kukosa njia ya kupita kwa usalama na kunusurika Mara kadhaa kuvigonga vikiwa na wafanyabiashara ndani. Mwanzo sisi...
Back
Top Bottom