Recent content by PENSIONER

  1. P

    Jairo asimamishwa kazi

    Ataje wale waliochukua hicho kitita. Hiyo bank account imefunguliwa kisheria? Au ni zile zinaitwa SLUSH FUNDS kwa kimombo?
  2. P

    Jairo asimamishwa kazi

    Kwa mtazamo wa haraka haraka viongozi wa serikali na chama cha mapinduzi ni birds of one feather kamwe hawatatengana kwa mapenzi yao wenyewe. Hawa ni lazima wapewe talaka ya lazima. Wana kitu kinaitwa uhusiano wa kisymbiotic.
  3. P

    Majina ya wauza Madawa ya Kulevya: Kikwete anayo!

    Sitashika pumzi yangu nikisubiri serikali ya jk ifanye chochote. Huko waliko wenyewe wana
  4. P

    Kashfa ya Jairo: Malipo ya zaidi Billioni 1 kusaidia Bajeti ipitishwe - Adai MP Beatrice Shelukindo

    Sijui kwa nini siamini kuwa this is an isolated incidence! Mtindo huu inawezekana upo kwenye wizara zote.
  5. P

    Kashfa ya Jairo: Malipo ya zaidi Billioni 1 kusaidia Bajeti ipitishwe - Adai MP Beatrice Shelukindo

    Sijui kwa nini siamini kuwa this is an isolated incidence! Mtindo huu inawezekana upo kwenye wizara zote.
  6. P

    Abdulrahman Kinana: Who is he?

    His nationality has been a subject of querries in the past. Can anyone tell please whether there was a ever a satisfactory answer?
  7. P

    Hi, am a new member!

    Hello. Im happy to join te forum. I pray i will be able to contribute something of value thanks.
Back
Top Bottom