Kwa mtazamo wa haraka haraka viongozi wa serikali na chama cha mapinduzi ni birds of one feather kamwe hawatatengana kwa mapenzi yao wenyewe. Hawa ni lazima wapewe talaka ya lazima. Wana kitu kinaitwa uhusiano wa kisymbiotic.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.