Hizi ni akili za KITUMWA mno hata wakina TIP TIP walifikiri hivi hivi kuhusu watanganyika wenzao wakashirikiana na explorers wakawafanya watumwa.
Ashukuriwe Mwl Nyerere🙏
Watu wengi wanazani Biblia iliandikwa kwa ajili yao. HAPANA
Bali Biblia iliandikwa kwa ajili ya purpose nyingine kabisa na hata walio andika hawakujua kwamba itakuja kuhitwa maandiko matakatifu.
USHAURI WA BURE KWA RAIS NA MAKAMU WA RAIS WA YANGA NA KAMATI YAO YA UTENDAJI NA MSIMAMO WA WAPENZI NA WANACHAMA WA YANGA
Kutokana na ukubwa wa Timu yetu na mtandao mkubwa uliopo miongoni mwa wapenzi na wanachama wa YANGA kuna taarifa zisizo na mashaka ndani yake ya kwamba viongozi wa Yanga...
Msithubutu kabisa kumchagua Freeman Aikael Mbowe kwani mtakuwa mmetangaza hadharani ushirika wenu na ccm kwa njia moja au nyingine.
Freeman Aikael Mbowe anapaswa kupingwa kila mahali na watu wote wenye mapenzi mema na uhai wa demokrasia ya kweli nchini.
Freeman Mbowe hata lugha zake tu zina...
Mimi binafsi sioni kabisa kinachofanyika katika ujenzi wa barabara ya mwendo kasi kwa phase hii ya njia ya tegeta posta na kipande cha ubungo tofauti kabisa na ujenzi wa njia ya Morogoro road au ilee ya gongolamboto.
Enzi za ujenzi wa Morogoro road kwanza utaona watu wapo busy masaa 24 kufanya...
Kupitia andiko hili na komenti za wana jukwaa nimejifunza vitu viwili.
Moja watu wengi wanapitia ukatili na unyanyasaji wa aina tofauti katika maisha yao na saa nyingine wanakosa hata haki zao za msingi kabisa lakini mfumo umewafanya kuona hali hiyo ni sawa tu.
Pili kupitia reply imedhihirika...
Kumekuwa na taarifa inayotolewa na baadhi ya wanasiasa na wana harakati kuhusu taarifa mbalimbali za uchaguzi hasa katika hatua hii ya kujiandikisha.
Nimekutana na hii habari huko mitandaoni ikisema daftari la lililotumika kuandikisha watu yamekusanywa na kupelekwa katika ofisi za jiji kinyume...
Tangu kuzinduliwa kwa zoezi la uandikishaji wa wapiga kura katika uchaguzi wa serikali za mitaa.
Kumekuwa na taarifa zikisema kuwa kuna wimbi kubwa la wanafunzi wa shule na watu wasiotimiza umri kuandikishwa katika daftari la wapiga kura.
Naomba kujua kama ujumbe huo unaotumwa kwenye mitandao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.