LGE2024 Malalamiko yanayoendelea kwenye zoezi la uandikishaji majina uchaguzi wa Serikali za Mitaa yanatisha

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

koryo1952

JF-Expert Member
Mar 7, 2023
860
1,530
Kuna zoezi linaloendelea kwa ajili ya uandikishaji wa daftari la wapiga kura wa Serikali za Mitaa.

Kila mahali kuna malalamiko dhidi ya waandikishaji wa zoezi hili wakikipendelea Chama fulani.

Malalmiko ya Dodoma Jiji ndiyo funga kazi. Kuna vijiwe vinaandikisha watu hewa na hakuna kinachofanyika.

Kuna mwandikishaji anaandika wapiga kura na anaacha nafasi katikati kwa ajili ya kujaza wapiga kura anaowajua na hakuna kinachofanyika. Kinachotakiwa haki itendeke na mambo ya hila hayatakiwi katika zoezi hili.

Jana nimemuona Mzee Butiku katika kipindi cha dakika 45 alisisitiza kuwa viongozi wapatikane kwa njia ya haki na siyo kwa njia ya mlango wa nyuma.

Zoezi hili limegubikwa na kasoro kubwa kwa ajili ya kuipendelea Chama fulani.

Kwanini wapiga kura wasingetumia tu kadi zao za kupigia kura na kama kuna vijana waliotimiza miaka 18 basi wakati wa uboreshaji wa daftari la wapiga kura wangepewa kadi zao za kupigia kura ili nao waje kutumia kwenye uchaguzi huu wa Serikali za Mitaa.

Inasikitisha sana kama Serikali inaona mambo haya na haichukui hatua.
 
Mkuu uzi wako ni mzuri sana, ila jitahidi kuweka aya na kuacha nafasi ili kuvutia andiko lako.

All in all, hilo zoezi ni comedy sana ila kwa vyovyote tusiache kujiandikisha na kupiga kura, ni haki yetu ya msingi.
 
Zoezi hili limegubikwa na kasoro kubwa kwa ajili ya kuipendelea Chama fulani.
Weka wazi...ni kwa aili ya kuipendelea ccm!

Yaani pamoja na kutumia jina bandia bado Unakuwa mwoga kiasi hiki!?
Watanzania bhana....kazi kweli kweli.
 
Kuna zoezi linaloendelea kwa ajili ya uandikishaji wa daftari la wapiga kura wa Serikali za Mitaa.

Kila mahali kuna malalamiko dhidi ya waandikishaji wa zoezi hili wakikipendelea Chama fulani.

Malalmiko ya Dodoma Jiji ndiyo funga kazi. Kuna vijiwe vinaandikisha watu hewa na hakuna kinachofanyika.

Kuna mwandikishaji anaandika wapiga kura na anaacha nafasi katikati kwa ajili ya kujaza wapiga kura anaowajua na hakuna kinachofanyika. Kinachotakiwa haki itendeke na mambo ya hila hayatakiwi katika zoezi hili.

Jana nimemuona Mzee Butiku katika kipindi cha dakika 45 alisisitiza kuwa viongozi wapatikane kwa njia ya haki na siyo kwa njia ya mlango wa nyuma.

Zoezi hili limegubikwa na kasoro kubwa kwa ajili ya kuipendelea Chama fulani.

Kwanini wapiga kura wasingetumia tu kadi zao za kupigia kura na kama kuna vijana waliotimiza miaka 18 basi wakati wa uboreshaji wa daftari la wapiga kura wangepewa kadi zao za kupigia kura ili nao waje kutumia kwenye uchaguzi huu wa Serikali za Mitaa.

Inasikitisha sana kama Serikali inaona mambo haya na haichukui hatua.
Piga simu kituo cha huduma kwa wateja CHADEMA tatizio lako lishughulikiwe mara moja wakati mambo mengine yakiendelea na muda ukiyoyoma 🐒
 
Kuna zoezi linaloendelea kwa ajili ya uandikishaji wa daftari la wapiga kura wa Serikali za Mitaa.

Kila mahali kuna malalamiko dhidi ya waandikishaji wa zoezi hili wakikipendelea Chama fulani.

Malalmiko ya Dodoma Jiji ndiyo funga kazi. Kuna vijiwe vinaandikisha watu hewa na hakuna kinachofanyika.

Kuna mwandikishaji anaandika wapiga kura na anaacha nafasi katikati kwa ajili ya kujaza wapiga kura anaowajua na hakuna kinachofanyika. Kinachotakiwa haki itendeke na mambo ya hila hayatakiwi katika zoezi hili.

Jana nimemuona Mzee Butiku katika kipindi cha dakika 45 alisisitiza kuwa viongozi wapatikane kwa njia ya haki na siyo kwa njia ya mlango wa nyuma.

Zoezi hili limegubikwa na kasoro kubwa kwa ajili ya kuipendelea Chama fulani.

Kwanini wapiga kura wasingetumia tu kadi zao za kupigia kura na kama kuna vijana waliotimiza miaka 18 basi wakati wa uboreshaji wa daftari la wapiga kura wangepewa kadi zao za kupigia kura ili nao waje kutumia kwenye uchaguzi huu wa Serikali za Mitaa.

Inasikitisha sana kama Serikali inaona mambo haya na haichukui hatua.
Kwaninu hamchukui hatua?
 
Kwa hiyo Tamisemi wamejitoa kwenye Jukumu la kusimamia?
ni kama wanavyofanya kwenye matukio mengine tu badala wariopoti changamoto panapohusika wanaenda kuripoti kwenye mitandao ya kijamii ambapo hivi sasa eti wanefungua kituo cha huduma za kujiandikisha kupiga kura serikali za mitaa, aise 🐒

Infact,
Tamisemi inaendelea kuchapa kazi kama kawaida bila mbambamba yoyote wako live 🐒
 
Tangu kuzinduliwa kwa zoezi la uandikishaji wa wapiga kura katika uchaguzi wa serikali za mitaa.

Kumekuwa na taarifa zikisema kuwa kuna wimbi kubwa la wanafunzi wa shule na watu wasiotimiza umri kuandikishwa katika daftari la wapiga kura.

Naomba kujua kama ujumbe huo unaotumwa kwenye mitandao ya kijamii in form of pictures, videos na text message kama kuna ukweli wowote.
 

Attachments

  • Screenshot_20241015_101228_X.jpg
    Screenshot_20241015_101228_X.jpg
    306.3 KB · Views: 6
  • Screenshot_20241015_113540_X.jpg
    Screenshot_20241015_113540_X.jpg
    227.8 KB · Views: 5
  • Screenshot_20241015_114002_X.jpg
    Screenshot_20241015_114002_X.jpg
    286.7 KB · Views: 5
  • Screenshot_20241015_113742_X.jpg
    Screenshot_20241015_113742_X.jpg
    191.7 KB · Views: 3
  • Screenshot_20241015_113945_X.jpg
    Screenshot_20241015_113945_X.jpg
    267.5 KB · Views: 4
  • Screenshot_20241015_113927_X.jpg
    Screenshot_20241015_113927_X.jpg
    224.4 KB · Views: 5
Back
Top Bottom