Recent content by Pendesha

  1. Pendesha

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Leo nalala nitaamka kesho kutwa
  2. Pendesha

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Bayen mpe direct Win Madrid mpe double chance 1x Kesho nitumie 4000.
  3. Pendesha

    Hizi sio ndoto za kawaida

    Mimi kuna ndoto inanisumbua ssna, huu n mwaka wa pili naota nikiwa naongea na baba yangu mdgo ambaye ni marehemu . kibaya umauti ulimpata kwa kunywa sumu. Na kila nikiwauliza wazazi wananiambia n hatar sana na s vizr. Nini tafsiri yake maana naogpa sana.
  4. Pendesha

    Tunapolala chumba kimoja na watoto tujue tunawaonyesha jinsi ya kufanya ngono

    Sasa nawaza jinsi gani nimface huyu jama maana jama flani ypo kivyake sana Sent from my TECNO-Y3+ using JamiiForums mobile app
  5. Pendesha

    Tunapolala chumba kimoja na watoto tujue tunawaonyesha jinsi ya kufanya ngono

    Aise ,kwakweli hili limenigusa sana kuna jirani yangu kila siku anashindia kumchapa mwanae wa kike miaka 4 ,tatizo ni mwanae kuwa mwalimu kwa watoto wa jirani zetu wengne hapa kwetu. kanawafunza wenzake vitu visivyo kabsa kabsa. Nilivo chunguza na baadhi ya majbu ya mtoto ni kwamba anasema...
  6. Pendesha

    Picha: Mwonekano kutoka juu wa shule ya sekondari ya Ihungo iliyopo mkoani Kagera

    Ndoto yako inaweza kuishi mkuu , save your words Sent from my TECNO-Y3+ using JamiiForums mobile app
  7. Pendesha

    Maoni yangu juu ya tukio la Askari Polisi dhidi ya Mwanajeshi katika benki fulani jijini Dar es Salaam

    Siku nyingne unapo andka hakikisha unamumba mtu akusaidie kuedit ili kuweka flow vizr
  8. Pendesha

    Rekodi mpya: Gunia la mahindi lafika 20,000/-

    Cha ajabu zaidi mwezi jana kuna mfanyabiashara kutoka kenya aliingia hadi porini kwetu akanunua gunia kwa bei ya Tsh. 25000/ Kitu ambacho n cha kushangaza sana hakijawah tokea
  9. Pendesha

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mkuu umetuchanganya bt nimekupata baada ya kutafakal kwa mbali..jarbu kutenganisha hzo odds na 3ways
  10. Pendesha

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mkuu wenzetu soka linaenda vizr sana ingekuwa hku kwetu hpo hesabu card 10
  11. Pendesha

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mkuu nikajua unaelezea tips za kumua Arsenal kumbe mambo ya ujenzi ..... Hku syo
  12. Pendesha

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Wakuu, nataka nicheze option moja inaitwa "PLAYER SENT OFF" Timu zote za leo URO. USHAURI WENU
  13. Pendesha

    Wafanyakazi wa Serikali na wafanyabiashara mkijibu hizi hoja nami nitaunga mkono maandamano

    Dunia n tambala bovu... Unaogopa kuvunjwa mguu sku ya maandamano kwan nan kasema maandamano hayo n vita? Kwann watanzania tunajengeka hv ? kwann tusiandamane tukisindkizwa na watu wa msalaba mwekundu, polisi pamoja na wengne watoa misaaada...... Iv huwez teleza kesho ukavunja mguu? Kwanini...
  14. Pendesha

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hii betting n kazi nzuri sana kwa baadhi ya siku. Mm nakaa na baadhi ya vijana kila siku wananiomba niwafundishe hii kazi lakn nilisha wambia mara kadha subirin kwanza. Nafanya hiv ili niwasome akili zao kwanza kuna mmoja nilimwambia leo nimepigwa Tsh.10000/= akasikitika sana. Hii kaz inahitaj...
Back
Top Bottom