Medicine imekuwa ikitegemea Engineers( Bio,Electric,Structural,Hydraulics,Robotics etc) kwa kipindi kirefu na bado kuna uhusiano mkubwa sana kati ya kazi za hawa mafundi na udaktari,na kila miaka inavyoenda utaona kwamba engineers wamekua ni chachu za inventions ambazo zimeleta mapinduzi ktk...
Kama unadhani ni vitisho basi abaki nyumbani aone...nimeongea fact....waliowahi kupatwa nii shida watashuhudia.....wengi hawajui kwamba Misoprostol hufanya kazi effectively kadiri mimba inavyokua kubwa....i mean receptors zinazo bind na active ingredient za dawa huongezeka mimba inavyokua....so...
Hizi Misoprostol zitamaliza watu duh....hiyo ni Incomplete Abortion.....na kinachofanya aendelee kubleed ni Retained Products of Conception(mabaki ya mimba)......na kwa hakika atableed hadi abaki mweupe na kuoza ndani taratibu hadi kufa kabisa kama hataenda hospital faster ili wafanye Manual...
Sema ni nani mkweli kati ya CAG na Serikali.....Mh.Zito amechukua tu report ya Assad....na ni kazi yake kama mbunge mwenye akili timamu(ukiacha hao wengine waliojitoa ufahamu)..
Ila nadhani tukubaliane kwamba mwanao ana uwezo mdogo class.....enzi zetu tulikua watukutu hivyo,Afro zilikua hazinyolewi na class tunaonekana kwa manati....ukija bwenini watu wanapiga msuli wa mbwa mwizi....people were smokin Kush,drnkn alcohol ila matokeo ya exams yaliwanyamazisha midomo...
Duh...mi ndiyo nazaliwa hiyo 84....well....mi nilimaliza pale 2006 advance....EMO/TMO sikuwahi kupata kwasababu nilisoma karibu na home elimu yangu yote ya sec....ila nakumbuka tu jinsi ilivyokua inatia heshima ukiona ubaoni mzee umetundikwa....ila kwa jinsi tulivyokua tunaishi kijamaa basi hela...
Chloroquine bado zipo kwenye soko la Tz ingawa si kwa wingi...hutumiwa na watu wenye ugonjwa wa Seli Mundu(Sickle Cell Disease) kama kinga ya Malaria.....hii dawa ilinifanya niwe mshabiki wa sindano...ni mbaya kuliko chochote nilichowahi kuingiza kinywani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.