Kemikali za sumu hazokutumika Douma ,madaktari washangaa na kusikitika kwa uzushi huo

mcomunisti halisi

Senior Member
Jan 17, 2017
103
325
"Nilikuwa na familia yangu nyumbani mita 300 kutoka hapa usiku ule lakini madaktari wote wanafahamu kilichotokea usiku ule .wanajeshi wa serikali walikuwepo na ndege za kivita zilikuwa usiku wote.lakini katika usiku ule kulikuwa na upepo mkali na wingu la vumbi lilokuwa likisambaa mpaka kwenye sehemu watu wanapoishi .Watu wakaanza kumiminika hapa wakisumbuliwa na hypoxia upungufu wa oxygen .kisha mtu aliyekuwa mlangoni ambaye ni white helmet (taasisi inayofadhiliwa na west) akaanza kupiga makelele Gas kisha panic ikaanza watu wakaanza kurushiana na kumwagiana maji.

"Ni kweli video ilirekodiwa hapa ni kweli kabisa lakini kilichotokea ni watu kuumwa na hypoxia na wala sio sababu ya gesi ya sumu,wale watu unaowaona kwenye video wakipata shida kuhema walikuwa na loss ya oxygen sababu walikuwa wanakaa kwenye handaki na ingekuwa ni sumu hata sie madaktari tungezurika lakini haikuwa sumu tulitoa matibabu bila ya hofu

.--Dr Assim(daktari mkuu hospitali ya Douma iliyopokea wagonjwa)
”****************************************
Mwandishi kutoka marekani Pearson sharp anasema amewahoji watu zaidi ya wakazi 30 wa eneo lile na hakuna dalili kemikali ya sumu ilitumika ,pia mwandishi kutoka The independent Richard Fisk anasema amewahoji watu zaidi ya 50 na hakuna alama yeyote tuhuma za kemikali za sumu zilitumika ,jamaa mmoja aliyehojiwa alisema alishanga kuna watu waliwafuata na kuwaambia sumu sumu kisha wakaanza kuwamwagia maji na kuwarekodi kisha wakatokomea kusikojulikana na wanahisi ni "hoax" au filamu iliyotengenezwa..waandishi kadhaa kutoka magharibi wameenda Douma kufanya uchunguzi na wanakuja na majibu hakuna silaha za sumu zilizotumika bali watu waliokuwa wanaishi kwenye mashimo na handaki waliishiwa oxygen sababu ya vumbi na upepo mkali


Tayari wachunguzi wa kimataifa wameenda Douma siku ya jumapili siku moja baada ya uingereza ufaransa na marekani kushambulia maeneo ya serikali kwa tuhuma walitumia kemikali za sumu kuua watu...lakini wataanza kufanya uchunguzi siku la leo jumatano licha ya kuwa hukumu ishatolewa kabla ya uchunguzi
 
Wake up
tapatalk_1523702324462.jpeg
 
"Nilikuwa na familia yangu nyumbani mita 300 kutoka hapa usiku ule lakini madaktari wote wanafahamu kilichotokea usiku ule .wanajeshi wa serikali walikuwepo na ndege za kivita zilikuwa usiku wote.lakini katika usiku ule kulikuwa na upepo mkali na wingu la vumbi lilokuwa likisambaa mpaka kwenye sehemu watu wanapoishi .Watu wakaanza kumiminika hapa wakisumbuliwa na hypoxia upungufu wa oxygen .kisha mtu aliyekuwa mlangoni ambaye ni white helmet (taasisi inayofadhiliwa na west) akaanza kupiga makelele Gas kisha panic ikaanza watu wakaanza kurushiana na kumwagiana maji.

"Ni kweli video ilirekodiwa hapa ni kweli kabisa lakini kilichotokea ni watu kuumwa na hypoxia na wala sio sababu ya gesi ya sumu,wale watu unaowaona kwenye video wakipata shida kuhema walikuwa na loss ya oxygen sababu walikuwa wanakaa kwenye handaki na ingekuwa ni sumu hata sie madaktari tungezurika lakini haikuwa sumu tulitoa matibabu bila ya hofu

.--Dr Assim(daktari mkuu hospitali ya Douma iliyopokea wagonjwa)
”****************************************
Mwandishi kutoka marekani Pearson sharp anasema amewahoji watu zaidi ya wakazi 30 wa eneo lile na hakuna dalili kemikali ya sumu ilitumika ,pia mwandishi kutoka The independent Richard Fisk anasema amewahoji watu zaidi ya 50 na hakuna alama yeyote tuhuma za kemikali za sumu zilitumika ,jamaa mmoja aliyehojiwa alisema alishanga kuna watu waliwafuata na kuwaambia sumu sumu kisha wakaanza kuwamwagia maji na kuwarekodi kisha wakatokomea kusikojulikana na wanahisi ni "hoax" au filamu iliyotengenezwa..waandishi kadhaa kutoka magharibi wameenda Douma kufanya uchunguzi na wanakuja na majibu hakuna silaha za sumu zilizotumika bali watu waliokuwa wanaishi kwenye mashimo na handaki waliishiwa oxygen sababu ya vumbi na upepo mkali


Tayari wachunguzi wa kimataifa wameenda Douma siku ya jumapili siku moja baada ya uingereza ufaransa na marekani kushambulia maeneo ya serikali kwa tuhuma walitumia kemikali za sumu kuua watu...lakini wataanza kufanya uchunguzi siku la leo jumatano licha ya kuwa hukumu ishatolewa kabla ya uchunguzi
Kwa maoni yangu mimi nakubali aidha Assad ajiuzuru ama atwangwe tu, hamna namna. Nina maana kwamba ni bora kutafuta njia nzuri ya kunusuru maisha ya raia wako - hasa wanawake na kwa njia ya kukubali yaishe badala ya kung'ang'ania kuonyesha ubabe au hutishwi na nchi za magharibi km mtoa hoja anavyopenda kutumia jina hili. Tangia 2011 vita inapiganwa Syria. Kuna ufahari gani kukaa madarakani huku baadhi ya raia wako kuchukua silaha kukuondoa? Kuna raha gani urais wako kuwepo kwa gharama za maisha ya unaowatawala? Kwa sababu zozote zile, iwe kupambana na nchi za magharibi ama za mashariki, kukalia urais wa dizaini hii ni ushetani. Maadamu kuna kundi la watu hawakutaki, iwe kwa nia nzuri au ovu - sioni sababu yenye mashiko ya kuwa iwe mvua iwe jua rais lazima uwe wewe hata kama maelfu na maelfu wanakufa. Yaani uhai wa raia hauna thamani ukilinganisha na sababu anazoona wewe na kundi lako kuwa ndiyo sababu muhimu? Unaposema masilahi ya magharibi kwa hiyo Mrusi hana masilahi yake? Si Mrusi si Mmarekani, wote hawa wanafanya wanayoyafanya kwa masilahi yao si maslahi ya M-Syria! Cha msingi hapa ni kunusuru maisha ya watu kwanza mambo mengine baadaye! Na kunusuru maisha ya watu kwa Syria ya sasa ni Assad kukaa pembeni, full stop! Rais yeyote duniani akikaa muda mrefu sana madarakani lazima kutakuwa na upinzani iwe kwa kupitia uchochezi kutoka nje ama la! Ukiacha tawala za kifalme, tawala za aina nyingine lazima kutakuwa na sintofahamu tu! Kukaa madarakani kwa muda mrefu hata km utajitahidi kuwafurahisha watu na hata kuwatolea mahari km Gadaffi alivyokuwa akifanya haiwezekabi watu wengine wakakubali kuwa ni wewe tu unayepaswa kutawala, litatokea kundi litakalotaka kukuondoa kwa kutumia njia yoyote.
 
Kemikali ya sumu inagunduliwa kwa kuhoji?stupidity hii.....wataalam wapo site now...wataleta majibu soon
Kama wataalamu wapo site sasa kwanini usa ameshambulia na kushusha makombora kinyume na sheria za umoja wa mataifa .je kemikali za sumu inagunduliwa kwa kusema tu na kuhisi..! Sasa hii si itakuwa zaidi ya stupidity
 
Back
Top Bottom