Recent content by pen dada

  1. P

    Yusuph Makamba na Kiingereza

    maa tonge aho uzanzagha, haa tiendeeze yetu nashwi! nzatamiwa maa.
  2. P

    GE2010 Barua ya wazi kwa wana JF na Watanzania wote.

    wee zawadi mi naona unanichefua tu na hii barua yako, mi nahisi umetumwa na wenzio unashirikiana nao kuhihujumu nchi hii na huna uzalendo wowote. sio siri mwl. nyerere angekuwepo na kuona hii dhuluma mnayoiendeleza ccm nahisi angejuuta kuwa ccm. bora ukae kimya kama huna la maana la kutuambia...
  3. P

    Dr. Slaa ni mbabaishaji na hafai kuwa kiongozi ?

    Napenda sana Mtu asiye na UNAFIKI. Kama wewe umeniibia Shati langu na ninajua kuwa umeniibia na wewe unajua kama umeniibia, sina haja ya kujigonga gonga kwako na kushikana na kukumbatiana wakati Moyoni najua umeniibia kitu changu. Huo ni Unafiki. Kama nimechukia kwa kuwa umeniibia nitafanya...
  4. P

    Nguvu za kike

    menopause ni kipindi ambacho mwanamke anafikia wakati wa kutokuona siku zake za hedhi za kila mwezi, hii inaanzia miaka 45 kuendelea.
  5. P

    nyumba inauzwa.

    jamani nauza nyumba yangu ambayo haijaisha imefika kwenye linta ipo Goba Mbezi juu. unaweza kupita tangi bovu au njia panda ya makonde na ukafika. nataka hela ya harakaharaka ili niende nje kusoma. anayehitaji anipigie 755423192.
  6. P

    hi to all

    i am a new member and i would like to chart.
Back
Top Bottom