Recent content by Pembe 7

  1. P

    Msaada wa kutatua tatizo hili kwenye Samsung smart TV yangu

    Asante sana ndugu yangu,nitafanya hivyo.
  2. P

    Msaada wa kutatua tatizo hili kwenye Samsung smart TV yangu

    Nina sumsung smart TV ila nikitaka kuangalia movie kutoka kwa flash inasema unsupported msaada wenu wajuzi nifanye nini ili niweze kuona video kutoka kwenye flash kupitia USB port? Nyimbo za audio zilizopo kwenye flash zinacheza kama kawaida.
  3. P

    Msaada kuunga network kwenye tablet ya kichina sgody

    Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu nina tablet ya kichina inaitwa xcody tatizo nimeweka line ya halotel inakataa kushika network...kuhusu mtandao wa internet haina shida,naomba msaada wenu wajuzi humu nifanye nini?
  4. P

    Maazimio ya kamati kuu ya CHADEMA chini ya mwenyekiti Mbowe kesho lazima yatakuwa haya

    Jamaa una majungu wewe kila siku mboweeee,chademaaaaa unawapenda nini?
  5. P

    Nani alianzisha dhehebu la Mashahidi wa Yehova?

    Yah inawezekana wanakosea maana mimi sijui ikiwa kuna katazo lolote la kimaandiko labda nikisaidiwa hapo
  6. P

    Nani alianzisha dhehebu la Mashahidi wa Yehova?

    sijasema popote kuwa ni kosa mtu kuongezewa damu labda kama una shida ya kuelewa au kwamba hairuhusiwi kitabibu sijasema hivyo.kwa taarifa yako hakuna damu salama tunasema damu salama kwasababu tumepima ukimwi na kukuta damu salama yaan haina ukimwi lakin kweny damu kuna zaidi ya...
  7. P

    Nani alianzisha dhehebu la Mashahidi wa Yehova?

    Wewe una uwezo mdogo wa kufikiri sasa nijifiche kwa manufaa ya nani? Na nina muogopa nani? Ukiona unaaibika watu wakijua wewe ni dhehebu fulani ambalo wewe mwenyewe umelichagua wewe utakua na matatizo ya akili.
  8. P

    Nani alianzisha dhehebu la Mashahidi wa Yehova?

    Sikujua kama hawa watu wanakataa blood transfusion basi wana akili sana mimi ni daktari tokea nipate elimu hii ya tiba sijawahi kukubali matibabu yanayohusisha blood wala sitaki watoto wangu wapitie namna hiyo ya matibabu.....kwa maoni yangu si ya kidini ni hatari sana kumtibu mtu kwa blood...
  9. P

    Nani alianzisha dhehebu la Mashahidi wa Yehova?

    awa nitafanya hivyo nitaanza kuwachunguza ingawa kwa muda mfupi ambao nilikua nao pale mkwawa high school enzi hizo walikuwa wanaonyesha msingi wao mkuu ni biblia yaani hakuna swali utakalomuuliza yy akujibu kwa maneno tu bila kukuonyesha mstari wa biblia unaowafanya waamini hivyo pia ni watu...
  10. P

    Nani alianzisha dhehebu la Mashahidi wa Yehova?

    Hapana mimi ni mtu nisiependezwa sn na dini ingawa nimelelewa kidini...siku nitakayoamua kujiunga na dini labda nitajiunga na hawa watu.
  11. P

    Nani alianzisha dhehebu la Mashahidi wa Yehova?

    Sio kweli kwamba wanasema watarithi nyumba za watu baba yangu alikua mchungaji na kila wakati alipokua akihubiri kanisani alikua akiwaponda sana hawa watu lakini siku moja tukiwa nyumbani nilimuuliza una ushahidi gani kuwa watu hawa kuwa ni wabaya kama unavyoaminisha watu? Akanijibu bila...
  12. P

    Nani alianzisha dhehebu la Mashahidi wa Yehova?

    Ninachojua mimi ulimwengu wenyewe hauleti mabaya wala hautokezi mabaya wanaoleta mabaya na wanaotokeza mabaya ni walimwengu wenyewe yaan wanadamu..Mungu aliumba viumbe wake hasa binadamu na malaika wakiwa na uhuru wa kuchagua yaani kuishi maisha mema au mabaya inasikitisha malaika mmoja...
  13. P

    Nani alianzisha dhehebu la Mashahidi wa Yehova?

    Hawa ni watu ninaofurahia sana kuishi nao ni watu wasikivu na ni majirani wazuri sana,nimepata bahati ya kusoma na baadhi yao na jambo la kushangaza ninapoishi sasa ni majirani zangu ni majirani wazuri sana ibada zao si za makelele na kulia lia kwa sauti kubwa ila ni watu thabiti sana kwa mambo...
  14. P

    Siri iliyofichwa kuhusu BIBLIA

    Asante sana mkuu mm napenda san mtu anaefikiri kuliko mfia imani...wewe ni mtu anayefikiri,napenda sana biblia vile inaripoti mambo ambayo kwakweli inaonyesha wazi watu walioandika walikua watu wa kawaida kwa kisa hiki Marko anatuonyesha wazi aliemtukana Yesu alikua mmoja hasa ikiwa mtu...
Back
Top Bottom