Recent content by Pellman

  1. P

    Maisha halisi nchini Marekani

    WAPI kwenye hiyo link wametamka "miezi sita" ??????
  2. P

    Maisha halisi nchini Marekani

    You are wrong! Hakuna kitu kama hicho cha miezi sita! Nenda kasome barua iliyokuja na green card. Au nenda mitandaoni katafute hiyo stipulation. Unakujaje kutoa lecture kuhusu ukazi wa USA na mambo ya green card wakati hujui restrictions za green card zikoje ??? Unasema una green card, green...
  3. P

    Maisha halisi nchini Marekani

    Okay, sasa unaeleweka. Naomba unionyeshe mahala popote uliposoma wewe kuhusiana na restrictions za green card palipotamka maneno "miezi sita."
  4. P

    Maisha halisi nchini Marekani

    Out of state or out of United States ? Jieleze vizuri wewe diaspora! Hata sentensi moja tu iliyonyooka kuandika tabu, diaspora tatizo moja kubwa ni shule!
  5. P

    Maisha halisi nchini Marekani

    NANI kakwambia green card hairuhusu kukaa nje ya US zaidi ya miezi sita ? Tatizo kubwa la diaspora wengi sijui niseme ni shule ndogo au vichwani wamevurugwa, mojawapo! Nenda kasome barua iliyokuja na green card yako inasemaje, na kama huna nenda online!
  6. P

    Magufuli alichelewa kuwa Rais wetu

    Kulia kwa Mahiga ni nani na alikufa lini ?
  7. P

    Watanzania waandamana katika Ubalozi wa Tanzania Nchini Marekani

    Kwa lugha iliyotumika kwenye mabango Diaspora walilenga hadhara na media ya Washington DC au Samia, utawala wake na Watanzania wa Nachingwea ?
  8. P

    Ndege ya ATCL number TC 106 Bomberdier, tairi moja ni kipara mpaka nyuzi zinaonekana kabisa

    Mchina jipya bora libaki hilo used original! Anyhow, Pombe aliacha ndege nzima
  9. P

    Nakutafuta 'Mke Mwema'

    Kesi ipo Mwandishi gani hujui hata kuandika fani yako kwa usahihi ?
  10. P

    Nakutafuta 'Mke Mwema'

    Muandishi ndio kazi gani hiyo ? Najua kuna Mhandisi na Mwandishi.
  11. P

    Ziara ya Rais kwenye nchi moja (US) kwa zaidi ya siku 5 haina tija. Muda mwingi wapo "idle" hotelini

    Okay, posho zimeliwa Chato Ikulu ilipohamia kijijini mwezi mzima, hiyo inaifanya posho kuliwa Marekanu kuwa sawa? Samia na yeye, the lightweight that she is, anawaza hivyo hivyo, alichokifanya Magu, hata cha ovyo, na yeye sawa kukifanya. Mtu wenu Samia hataweza kuwa bora kuliko JPM kama kipimo...
  12. P

    PC gani bora ninunue kwa ajili ya masuala ya Coding

    angalia hii pia: HP Envy m7 brand new in a box 1TB i7 core, 2.5GHZ Processor 16GB RAM Nvidia GeForce Graphics 17" Display, Touchscreen Backlit keyboard DVD +/-RW Optical drive D'Salaam Price 1.8M /=
  13. P

    NAFUMUA MSHONO: Simu za iPhone ni mdebwedo, wanaozitumia ni watu wa kufuata mkumbo bila reasoning. Simu za Android ndio mpango mzima!

    Umekazia, na mimi nakaza. Nilikuwa kwa kinyozi akapiga miziki mikali nikadhani labda ipo Spotify, au Icloud au Amazon Music, au sijui XM Satellite. Nikamwambia nazipataje hizo ngoma Kiongozi ? Akasema ziko kwenye flashi hapa hapa saluni. Hakuna mtu analipia ma iCLOUD na ma SPOTIFY viunga...
  14. P

    NAFUMUA MSHONO: Simu za iPhone ni mdebwedo, wanaozitumia ni watu wa kufuata mkumbo bila reasoning. Simu za Android ndio mpango mzima!

    Hatutaki kupitia ICLOUD iliyopo Marekani tunapotaka ku access data zetu na kubadilishana hapa Makete. Tunatumia SD Card na flash zinazouzwa hapa stendi. That is for the vast majority of the minimalist masses of us. Hatuna bundles za kuchezea, na hatuna minara kila tarafa, na hatuna broadband...
  15. P

    NAFUMUA MSHONO: Simu za iPhone ni mdebwedo, wanaozitumia ni watu wa kufuata mkumbo bila reasoning. Simu za Android ndio mpango mzima!

    Feature ya app gani, youtube ? Youtube kwenye android inaweza kuwaka wakati unafanya vitu vingine. Kwa hiyo, hiyo ya kufanya jambo moja kwa wakati sio feature ya app, bali ni feature ya Iphone! Feature ya hiyo A15 BIONIC Processor kali kuliko zote duniani lakini ukiwasha kitu lazima uzime...
Back
Top Bottom