Nakutafuta 'Mke Mwema'

Nakutafuta 'Mke Mwema'

Achana nae asikukatishe tamaa, wanawake wema popote pale wapo, mimi nimepata mke humu, narudia tena NIMEPATA MKE HUMU, sio masihara wala kufurahisha baraza, mimi mke wangu NIMEMPATIA HUMU.
Sawa kabisa mkuu.
Naamini pia anaweza kupatikana kokote
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom