Mmmmh hizi sasa ndo dalili za uchawi kidogo kidogo,tabu yooote ya nn kuigeuza K yangu upofu?niweke ndimu kwenye K mara K inapotea ntafanyaje?ushaambiwa ukimchunguza bata huto mla,kumchunguza kote huko ili iweje?akuuu Mume wangu nampenda haya mambo ya kuhisi yashindweeee kabisaaaa,kama anafanya...
mm nilikuwa mmoja wa watu wenye tatizo hilo na sasa niko fit kabisa baada ya kupata tiba mbadala. kwanza anatakiwa kujua sababu hasa ni nini mpaka anakosa cku zake? inaweza kuwa ni unene, maybe aliwahi kuzaa baada ya hapo ikapotea toka alivyojifungua, pia hili si tatizo dogo kiukweli ni tatizo...
Shamba linauzwa kwa bei cheee, wahi sasa mapemaaaaaaaaaa arthi ni mali, shamba liko kiwangwa bagamoyo, bei nafuu sana, millioni moja kwa acre, kwa maelezo zaidi ni pm.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.