Hiyo hali imekuwa ikinipata sana mimi.
Kuna siku nilibeba dumu la maji na kuingia nalo bafuni kuoga, sasa Ile nimefika bafuni kwa kuhangaika kulibeba ndiyo kwa mbaali nilikuwa nafikiria mbona kama ndoo nzito sana?
Ndo nakuja kugundua kuwa nimebeba dumu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.