Swali fikirishi: Nikwanini CCM hawakuunga mkono maandamano ya kupinga utekaji na mauaji ya raia?

kagoshima

JF-Expert Member
Dec 31, 2015
2,876
5,667
Wadau mkopoa? Nisiwaxhoshe niende mojakwamoja kwenye swali.
  • Pamoja na Katibu wa CCM Dr Emmanuel Nchimbi kuonekana hafurahishwi na utekaji na mauaji ya raia,
  • Lakini yalipoitishwa maandamano ya kupinga vitendo vya utekaji na mauaji ya raia yaliyoitishwa na chama kikuu cha upinzani CHADEMA, CCM walionekana si tu kuttotoa ushirikiano Bali pia kuyapinga na kukebehi baada ya kamatakamata ya polisi.

Je CCM waliona haiwahusi kwavile wengi wa waliotekwa ni wapinzani na wasio na vyama ?

Soma Pia: Freeman Mbowe: Tutaandamana kudai watu waliopotea
 
Wadau mkopoa? Nisiwaxhoshe niende mojakwamoja kwenye swali.
  • pamoja na Katibu wa CCM Dr E nchimbi kuonekana hafurahishwi na utekaji na mauaji ya raia,
  • lakini yalipoitishwa maandamano ya kupinga vitendo vya utekaji na mauaji ya raia yaliyoitishwa na chama kikuu cha upinzani Chadema, CCM walionekana si tu kuttotoa ushirikiano Bali pia kuyapinga na kukebehi baada ya kamatakamata ya polisi.

Je ccm waliona haiwahusi kwavile wengi wa waliotekwa ni wapinzani na wasio na vyama ?
Yale maandamano baba ndubwi aliyapa jina la Şamia Muşt go…. And that was his political miscalculation…. Maana yeye kama yeye hana moral authority ya kuchallenge mh rais

Angekomaa na mengine angetoboa

I think he was misguided

Shule ya gachagua should be taught in every classroom ya namna ya mamlaka zinavyolindwa
 
Wadau mkopoa? Nisiwaxhoshe niende mojakwamoja kwenye swali.
  • pamoja na Katibu wa CCM Dr E nchimbi kuonekana hafurahishwi na utekaji na mauaji ya raia,
  • lakini yalipoitishwa maandamano ya kupinga vitendo vya utekaji na mauaji ya raia yaliyoitishwa na chama kikuu cha upinzani Chadema, CCM walionekana si tu kuttotoa ushirikiano Bali pia kuyapinga na kukebehi baada ya kamatakamata ya polisi.

Je ccm waliona haiwahusi kwavile wengi wa waliotekwa ni wapinzani na wasio na vyama ?
Ccm ni wafaidika wa huo utekaji, hivyo hawawezi kuunga maandamano yanayopinga sehemu ya mbinu yao ya kutawala kwa shuruti.
 
Wadau mkopoa? Nisiwaxhoshe niende mojakwamoja kwenye swali.
  • Pamoja na Katibu wa CCM Dr Emmanuel Nchimbi kuonekana hafurahishwi na utekaji na mauaji ya raia,
  • Lakini yalipoitishwa maandamano ya kupinga vitendo vya utekaji na mauaji ya raia yaliyoitishwa na chama kikuu cha upinzani CHADEMA, CCM walionekana si tu kuttotoa ushirikiano Bali pia kuyapinga na kukebehi baada ya kamatakamata ya polisi.

Je CCM waliona haiwahusi kwavile wengi wa waliotekwa ni wapinzani na wasio na vyama ?

Soma Pia: Freeman Mbowe: Tutaandamana kudai watu waliopotea
Kwani ni Mbowe na wenzake wangapi waliojitokeza?
 
Ni kwa sababu waandaaji wa maandamano walichagua kaulimbiu ya kijinga. Mtu yeyote mwenye akili timamu, asiyekuwa nyumbu, hawezi kuunga mkono maandamano yenye kaulimbiu Samia must go.
Hata mimi nisiye na chama sikuyaunga mkono kwa sababu hiyo.
 
IMG_20240922_035041.jpg
IMG_20240922_035102.jpg
 
Wadau mkopoa? Nisiwaxhoshe niende mojakwamoja kwenye swali.
  • Pamoja na Katibu wa CCM Dr Emmanuel Nchimbi kuonekana hafurahishwi na utekaji na mauaji ya raia,
  • Lakini yalipoitishwa maandamano ya kupinga vitendo vya utekaji na mauaji ya raia yaliyoitishwa na chama kikuu cha upinzani CHADEMA, CCM walionekana si tu kuttotoa ushirikiano Bali pia kuyapinga na kukebehi baada ya kamatakamata ya polisi.

Je CCM waliona haiwahusi kwavile wengi wa waliotekwa ni wapinzani na wasio na vyama ?

Soma Pia: Freeman Mbowe: Tutaandamana kudai watu waliopotea
NI WAO WATEKAJI WATTANDAMANAJE?
 
Wadau mkopoa? Nisiwaxhoshe niende mojakwamoja kwenye swali.
  • Pamoja na Katibu wa CCM Dr Emmanuel Nchimbi kuonekana hafurahishwi na utekaji na mauaji ya raia,
  • Lakini yalipoitishwa maandamano ya kupinga vitendo vya utekaji na mauaji ya raia yaliyoitishwa na chama kikuu cha upinzani CHADEMA, CCM walionekana si tu kuttotoa ushirikiano Bali pia kuyapinga na kukebehi baada ya kamatakamata ya polisi.

Je CCM waliona haiwahusi kwavile wengi wa waliotekwa ni wapinzani na wasio na vyama ?

Soma Pia: Freeman Mbowe: Tutaandamana kudai watu waliopotea
Yale haramu ya kukurupuka ya samia must go, right?🐒


halafu mtangazaji na muhamasishaji mkuu wa yale maandamano bilashaka alikua katumia kilevi fulani kilichomchochea kutangaza..

haikua bure ile,
so , ilikua ni mtihani kufuata maagizo ya mlevi ama la. Na matokeo yake wenye hakima na busara wakampuuza 🐒
 
Back
Top Bottom