Recent content by Peaceforever

  1. P

    Nairobi yatajwa kuwa jiji la tatu lenye hewa chafu zaidi barani Afrika

    Pamoja na kuwa na ofisi za UN agencies, tena nafikiri ikiwemo ya Mazingira na zingine zitaongezeka mwakani, hapo namna gani tena jameni! 😄
  2. P

    Nataka kuuacha huu mzigo wa Milioni 18 humu M-Wekeza mpaka 2030, vipi nitapata kiasi Gani wakuu?

    Mleta mada vizuri utafute wataalam wa uwekezaji ili wakushauri vizuri, kunaweza kuwa options nzuri zaidi!
  3. P

    TANZIA Ansgar Africanus Mushi wa PSSSF afariki dunia

    Bado alikuwa na miaka 7 ya kula utumishi vizuri tu! Pole kwa wafiwa
  4. P

    Nimeandika kitabu cha namna ya kuwa tajiri ila nimekosa pesa ya ku print

    Pole mleta mada, tafuta tajiri mmoja mwenzako aliyekutangulia kwenye utajiri, kila la kheri!
  5. P

    Kama umewekeza kwenye hisa za CRDB toa hela yako mapema. Mporomoko mkali waja

    anaweza kushangaa pia ngoma isiende chini, ikaendelea kupaa. Historia ya 2019, siyo rahisi sana kujirudia kwa haraka, japo inawezekana pia!
  6. P

    Kwanini ununue shares za DCB pale DSE(Dar es Salaam stock exchange)

    Nafikri wakati mwingine hawa foreigners ndiyo wanasaidia kwenye control ya mwenendo wa kampuni, kuliko kuwa nasi waswahili tu
  7. P

    Kwanini ununue shares za DCB pale DSE(Dar es Salaam stock exchange)

    Nunua hisa kutosha kadiri zitakavyopatikana sokoni
  8. P

    GE2025 Dkt. Albanie: Polepole anataka kuharibu Uchaguzi, apuuzwe

    Aliwahi kuwa chadema au nimechanganya majina?! 😄
  9. P

    GE2025 Jaji Hamidu Mwanga akataa kujitoa kwenye kesi ya CHADEMA

    Hiyo inaitwa kazi iendelee! 😄
Back
Top Bottom