Habari wana JF?
Jana kwenye pilika zangu nilisikia kipande cha tangazo la watu wasio na ajira wapeleke vyeti Clouds FM naomba ambaye amesikia tangazo hilo kwa upana atupe habari kamili.
Asanteni!
Habari wana JF? Mara nyingi katika jamii tunayoishi mtu akipatwa na mikosi,misukosuko anaenda kwa Mganga wa kienyeji kusafisha nyota,,Nini maana ya kusafisha nyota? Mtu anayesafisha nyota anapata faida gani?Je kama ni kweli kusafisha nyota kunaondoa mikosi, Katika dini zetu ( KIISLAMU&KIKRISTO)...
Habari wana JF,
Naomba niulize swali kwa wataalam waliobobea kwenye mahusiano, hivi msichana akikeketwa hisia za mapenzi zinatoweka au inakuwaje? Naomba majibu tafadhali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.