Kutokua na bunduki ina maana mbili
Nchi haina silaha za kutosha. Ufisadi umezidi , budget ya ulinzi haiendi Kununua silaha za kulinda nchi
Au wamemua kutotumia silaha. Mimi naamini Tanzania silaha hazitoshi. Kipindi cha uchaguzi29, wanajeshi kisingizio , hamna silaha
Haijabadilika kabisa.
Na Nyerere kafanya nini yeye ili awena heshima yangu?
Nyerere alikuambinafsi basically Tu kwasababu timepewa independence ya kimagumashi ndotunamheshimu
Hivi anajisikia kweli anachoongea
Unamaanisha nini yaliopita sii ndweli. Watu wamekufa wengi sana kama wadudu na unasema yaliopita sindwele na unajiita mtumishi wa mungu/Allah
HUu niushetani kabisa. Uporadhi kutetea mtu anaye kusponsor kuliko kukosoa mauaji. Hatuta elewana tukiendelea hivi
Wanajitahidi Sana kusukuma lawama kwa kila MTU lakini sio wenyewe.
WAnataka maridhiano lakini hawa acknowledge mistakes. You can only fix mistakes you identify
Unavyoongea ni kama nyumba na biashara zote za kila wananchi zingechomwa
Biashara , Mali na nyumba zilizochomwa zilikuwa za wanaccm.
Wale waliokuwa wanataka advantage of the system
POlisi Wana vifaa vya kudeal na waandamanaji bila kuuliwa kwa watu. Heck kama unashindwa kudeal na ' unarmed ' protestors bila kuua. Basi mafunzo yako nibure
Pia tuna jeshi kwenye kila mkoa. Kila mkoa kaka yangu. Ambayo tunawalipa wanveweza kutuliza Amani.
Kwanini unatetea wauaji. Mimi...
Umetoa argument nzuri lakini shida ni moja. Unadeflect from the point
Point yako nzima inabase kwamba watu wameandamana kwasababu mwanaharakati wa nchi nyingine kamwambia kuandamana
Lakini ngojea nikukumbushe. Watu wameandamana kwasababu ya utekaji na mauwaji ya watu wanaoipinga serekali na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.