Recent content by PAZZI

  1. PAZZI

    Sayari ya Zuhura ina siku ndefu kuliko mwaka wake

    Duuh, hiyo ingekuwa kunawezekana kuishi huko ningenda huko
  2. PAZZI

    Hizi ni nchi ambazo hazina kesi za Corona Virus

    Nenda Kiribbati au Tuvalu, utapenda nilikuwa huko miaka2 ilopita
  3. PAZZI

    Sera za kilimo ziangalie namna ya kuongeza idadi ya ‘farmers’ na sio ‘peasants’

    Bado kuna ombwe kubwa sana baina ya jitihada za kufanisi uchumi wataifa na jitihada za kuwekeza katika kilimo bora. Hatuwezi kupiga hatua ya kiuchumi bila kuwekeza katika kilimo bora. Awamu ya tano ilikuja na sera ya viwanda. Je vieanda vya aina gani? Malighafi za viwanda zinatoja wapi kama sio...
  4. PAZZI

    Kenya yatangaza visa 8 zaidi vya corona

    Hilineno Hili neno "kisa" au "visa" limekuwa likitumika kimakosa mno.
  5. PAZZI

    Pwani: Ajali ya Magari imeua Watu 21 na wengine 15 kujeruhiwa. Rais Magufuli atuma salamu za rambirambi

    Subhana'Allaah, Allah awafanyie tahfifu majeruhi wa ajali na awarehemu marehemu wote
  6. PAZZI

    Mwigulu Nchemba ashauri Serikali iache kutangaza wagonjwa wapya wa Corona, itangaze wanaopona na wanaokufa

    Sishangazwi sana na maneno ya Mwigulu. Kwakuwa huo ni kama utamaduni wa taifa hili. Imekuwa ni utamaduni wetu kuficha ukweli na kuwekahadharani ungo. Hili linathibitika hata katika historia zetu zilivyo fichwa. Tazama historia ya Vita vya Majimaji,historia ya Mkwawa, Historia ya Uhuru wa...
  7. PAZZI

    Benki ya Dunia yakanusha kuipongeza Tanzania

    Hawa vijana wa Lumumba wanapata nini haswa kwa kuchapisha habari za uzushi? Haya sasa WB. Wamekanusha upuuzi wenu mliousambaza, kwaajili ya kusifia visivyostahili kusifiwa
  8. PAZZI

    Fixed account za benki na utajiri wa haraka haraka

    Je, kuna muda wa ukomo wa kuweka pesa zangu katika akaunti hii ya fixed? Au naweza kuweka na kuacha zikae kwa muda wowote nipendavyo?
  9. PAZZI

    Afrika Kusini: Mshahara wa Rais, Mawaziri kupunguzwa kwa 33%, fedha zitatumika kukabiliana na janga la Corona

    Wa Hakika huo ndio uongozi wenye kuwajali watu wake. Huku kwetu raisi wa wanyinge ataka wanyonge watoe mchango wa pesa.
  10. PAZZI

    Kenya: Simu za watu zinafuatiliwa kama namna ya kupambana na #covid19

    Hiyo in aina nyingine ya upuuzi Wa nchi za kiafrika. Inakuwaje waingiliebuhuru Wa falagha ya mutu kwabkisingizio cha kupambana na Covid19 Kwanini wasitumie njia nyingine?
  11. PAZZI

    Tamko la Viongozi wa vyama vya Siasa Zanzibar kuhusiana na mambo yanayoendelea Nchini

    Nimecheka sana nilipogika mwishoni mwa waraka huu na kuona orodha ya vyama vilivyotoa hilo tamko. Kwani hii ni kauli ya vyama vya siasa au kauli ya CHAMA CHA SIASA? Hebu acheni kucheza na akili zetu jamani.
  12. PAZZI

    Maalim Seif aomba Mashirika ya Kimataifa IMF, WB, AfDB na nchi wahisani kusimamisha malipo ya Madeni ya Nchi za Afrika

    Nampongeza sana mheshimiwa Maalim S.S.Hamad. kwa hotuba yake nzuri, hotuba ambayo ilipaswa kutolewa na yule mnywakahawa anae lala kwenyemawe kama mjusi.
  13. PAZZI

    Virusi vya corona: Wanajeshi wa Rwanda wadaiwa kuwabaka raia wakati wa amri ya kutotoka nje

    Hiuo ndio Afrika bwana, haishiwi vibweka kilauchao.
  14. PAZZI

    Namba za simu za Ofisi nyingi za Serikali hazipatikani

    Katika kipinfi hiki ni vema mawasilianonyakawa ya uhakika zaidi.
Back
Top Bottom