Sera za kilimo ziangalie namna ya kuongeza idadi ya ‘farmers’ na sio ‘peasants’

OLS

JF-Expert Member
Oct 12, 2019
419
669
Kwenye kiswahili tuna neno moja kwa maneno hayo mawili ya kiingereza, Mkulima. Lakini watu wanaoweza kuilisha nchi ni ‘Farmers’ sio ‘peasants’. Kwa tafsiri sahihi, ‘Peasant’ ni mtu anayelima ili kujazia padogo palipopungua. Hawa huwa wanalima kwa kile kitu tunaita ‘subsistance economy’ just for consumption. Ila pia hata kwa namna hiyo, mazao yao huwa hayawatoshi na hulazimika kununua miezi kadhaa baada ya msimu wa mavuno kuisha

Tumesikia kuwa, Tanzania ina wakulima zaidi ya 50% hizi ni takwimu zisizozingatia tofauti ya maneno tajwa hapo juu. Kama wakulima ni asilimia hizo, ama kwa hakika tusingekuwa tuna-import chakula zaidi tungekuwa ni exporters wakubwa wa bidhaa za kilimo

Hii inaonyesha kuwa tumeshindwa kuona mkulima haswa wa kumpa mazingira bora ni yupi, tumebaki kuwaambia vijana wakalime huku tukijua fika hawana mitaji. Wengine wanasema mitaji ipo, anza kidogo kidogo, yote haya yanasisitiza kilimo cha small scale ambacho ni u-peasant na sio ukulima

Taja wakulima kama kina Summry ambao wanalima mashamba ya kutosha na wamejiwekeza kwa mabilioni ya pesa. Leo unampa kijana laki 6 akalime, ili umuite mkulima, ukuze uchumi. Wakati chakula atakachozalisha hakitoshi kumlisha hata yeyey mwenyewe kwa mwaka mmoja. Kuna mkulima hapo?

Mahusiano ya kiuchumi hubadilika muda na muda, kilimo kilianza kwa ile wanaita labor intensive technique, ambayo ilionekana kuwa ni muhimu kipindi kile cha Nyerere, though tulikuwa nyuma ya muda.

Kipindi kile wakawa na kauli ya KILIMO CHA KUFA NA KUPONA, ilikuwa hivyo ili vijana wasikae kijiweni. Lakini mtu hafui dafu kwenye teknolojia, na hata KILIMO CHA KUFA NA KUPONA hakikuwa na matunda kwa kuwa baadae tukaanza kuagiza chakula kutoka nje, (Japo hapa zipo sababu tofauti tofauti tofauti)

Baadae tukaja na kauli KILIMO UTI WA MGONGO, watu wakaima sana, lakini bado hatukutambua kuwa kilimo hiko kilikuwa hakijalenga kwenye kubadili mfumo wa kutoka kwenye labour intensive kuja kwenye Capital Intensive technique, kilimo uti wa mgongo kikaenda na maji

Tumekuja kwenye KILIMO KWANZA, tunachukua mawazo yasiyo na tija kuyatumia na bado tunapata shida zilezile za awali. Tunasema wakulima zaidi ya 50% Corona imetutisha kidogo tu, tunaona upeo wa njaa, sasa hao wakulima asilimia 85 walikuwa wanlima nini? Walicholima kikowapi kituokoe kwenye kipindi hiki

Wala hatutakiwi kuruka stage, kama hiyo ya kubaki kwenye jembe la mkono kuhamia kwenye hydrospony, huko ni mbali bado ardhi ipo na ina rutuba, inapaswa kutumika. Wala tusikimbilie teknolojia kwa sababu fulani anafanya bali kuangalia tija yake.

Hizo hydrospony ziwe kwa kilimo bustani na mashamba darasa kwa maprofesa wakilimo ili nao wafanye mazoezi nyumbani sio kilimo cha kuokoa nchi.

Tafsiri ya uchumi nnayoikubali ni ya Adam Smith, inquiry into a nature

HOJA: Sera zijikite kwenye kuzalisha wakulima na sio kuwafariji Peasants


Signed:

Oedipus
 
Kwenye kiswahili tuna neno moja kwa maneno hayo mawili ya kiingereza, Mkulima. Lakini watu wanaoweza kuilisha nchi ni ‘Farmers’ sio ‘peasants’. Kwa tafsiri sahihi, ‘Peasant’ ni mtu anayelima ili kujazia padogo palipopungua. Hawa huwa wanalima kwa kile kitu tunaita ‘subsistance economy’ just for consumption. Ila pia hata kwa namna hiyo, mazao yao huwa hayawatoshi na hulazimika kununua miezi kadhaa baada ya msimu wa mavuno kuisha

Tumesikia kuwa, Tanzania ina wakulima zaidi ya 50% hizi ni takwimu zisizozingatia tofauti ya maneno tajwa hapo juu. Kama wakulima ni asilimia hizo, ama kwa hakika tusingekuwa tuna-import chakula zaidi tungekuwa ni exporters wakubwa wa bidhaa za kilimo

Hii inaonyesha kuwa tumeshindwa kuona mkulima haswa wa kumpa mazingira bora ni yupi, tumebaki kuwaambia vijana wakalime huku tukijua fika hawana mitaji. Wengine wanasema mitaji ipo, anza kidogo kidogo, yote haya yanasisitiza kilimo cha small scale ambacho ni u-peasant na sio ukulima

Taja wakulima kama kina Summry ambao wanalima mashamba ya kutosha na wamejiwekeza kwa mabilioni ya pesa. Leo unampa kijana laki 6 akalime, ili umuite mkulima, ukuze uchumi. Wakati chakula atakachozalisha hakitoshi kumlisha hata yeyey mwenyewe kwa mwaka mmoja. Kuna mkulima hapo?

Mahusiano ya kiuchumi hubadilika muda na muda, kilimo kilianza kwa ile wanaita labor intensive technique, ambayo ilionekana kuwa ni muhimu kipindi kile cha Nyerere, though tulikuwa nyuma ya muda.

Kipindi kile wakawa na kauli ya KILIMO CHA KUFA NA KUPONA, ilikuwa hivyo ili vijana wasikae kijiweni. Lakini mtu hafui dafu kwenye teknolojia, na hata KILIMO CHA KUFA NA KUPONA hakikuwa na matunda kwa kuwa baadae tukaanza kuagiza chakula kutoka nje, (Japo hapa zipo sababu tofauti tofauti tofauti)

Baadae tukaja na kauli KILIMO UTI WA MGONGO, watu wakaima sana, lakini bado hatukutambua kuwa kilimo hiko kilikuwa hakijalenga kwenye kubadili mfumo wa kutoka kwenye labour intensive kuja kwenye Capital Intensive technique, kilimo uti wa mgongo kikaenda na maji

Tumekuja kwenye KILIMO KWANZA, tunachukua mawazo yasiyo na tija kuyatumia na bado tunapata shida zilezile za awali. Tunasema wakulima zaidi ya 50% Corona imetutisha kidogo tu, tunaona upeo wa njaa, sasa hao wakulima asilimia 85 walikuwa wanlima nini? Walicholima kikowapi kituokoe kwenye kipindi hiki

Wala hatutakiwi kuruka stage, kama hiyo ya kubaki kwenye jembe la mkono kuhamia kwenye hydrospony, huko ni mbali bado ardhi ipo na ina rutuba, inapaswa kutumika. Wala tusikimbilie teknolojia kwa sababu fulani anafanya bali kuangalia tija yake.

Hizo hydrospony ziwe kwa kilimo bustani na mashamba darasa kwa maprofesa wakilimo ili nao wafanye mazoezi nyumbani sio kilimo cha kuokoa nchi.

Tafsiri ya uchumi nnayoikubali ni ya Adam Smith, inquiry into a nature

HOJA: Sera zijikite kwenye kuzalisha wakulima na sio kuwafariji Peasants


Signed:

Oedipus
Uko sahihi lakini hata huyo peasant haitwi peasant tu but anaitwa peasant farmer. Kwenye agricultural production economics kuna concept ya farm size nà
Kwenye kiswahili tuna neno moja kwa maneno hayo mawili ya kiingereza, Mkulima. Lakini watu wanaoweza kuilisha nchi ni ‘Farmers’ sio ‘peasants’. Kwa tafsiri sahihi, ‘Peasant’ ni mtu anayelima ili kujazia padogo palipopungua. Hawa huwa wanalima kwa kile kitu tunaita ‘subsistance economy’ just for consumption. Ila pia hata kwa namna hiyo, mazao yao huwa hayawatoshi na hulazimika kununua miezi kadhaa baada ya msimu wa mavuno kuisha

Tumesikia kuwa, Tanzania ina wakulima zaidi ya 50% hizi ni takwimu zisizozingatia tofauti ya maneno tajwa hapo juu. Kama wakulima ni asilimia hizo, ama kwa hakika tusingekuwa tuna-import chakula zaidi tungekuwa ni exporters wakubwa wa bidhaa za kilimo

Hii inaonyesha kuwa tumeshindwa kuona mkulima haswa wa kumpa mazingira bora ni yupi, tumebaki kuwaambia vijana wakalime huku tukijua fika hawana mitaji. Wengine wanasema mitaji ipo, anza kidogo kidogo, yote haya yanasisitiza kilimo cha small scale ambacho ni u-peasant na sio ukulima

Taja wakulima kama kina Summry ambao wanalima mashamba ya kutosha na wamejiwekeza kwa mabilioni ya pesa. Leo unampa kijana laki 6 akalime, ili umuite mkulima, ukuze uchumi. Wakati chakula atakachozalisha hakitoshi kumlisha hata yeyey mwenyewe kwa mwaka mmoja. Kuna mkulima hapo?

Mahusiano ya kiuchumi hubadilika muda na muda, kilimo kilianza kwa ile wanaita labor intensive technique, ambayo ilionekana kuwa ni muhimu kipindi kile cha Nyerere, though tulikuwa nyuma ya muda.

Kipindi kile wakawa na kauli ya KILIMO CHA KUFA NA KUPONA, ilikuwa hivyo ili vijana wasikae kijiweni. Lakini mtu hafui dafu kwenye teknolojia, na hata KILIMO CHA KUFA NA KUPONA hakikuwa na matunda kwa kuwa baadae tukaanza kuagiza chakula kutoka nje, (Japo hapa zipo sababu tofauti tofauti tofauti)

Baadae tukaja na kauli KILIMO UTI WA MGONGO, watu wakaima sana, lakini bado hatukutambua kuwa kilimo hiko kilikuwa hakijalenga kwenye kubadili mfumo wa kutoka kwenye labour intensive kuja kwenye Capital Intensive technique, kilimo uti wa mgongo kikaenda na maji

Tumekuja kwenye KILIMO KWANZA, tunachukua mawazo yasiyo na tija kuyatumia na bado tunapata shida zilezile za awali. Tunasema wakulima zaidi ya 50% Corona imetutisha kidogo tu, tunaona upeo wa njaa, sasa hao wakulima asilimia 85 walikuwa wanlima nini? Walicholima kikowapi kituokoe kwenye kipindi hiki

Wala hatutakiwi kuruka stage, kama hiyo ya kubaki kwenye jembe la mkono kuhamia kwenye hydrospony, huko ni mbali bado ardhi ipo na ina rutuba, inapaswa kutumika. Wala tusikimbilie teknolojia kwa sababu fulani anafanya bali kuangalia tija yake.

Hizo hydrospony ziwe kwa kilimo bustani na mashamba darasa kwa maprofesa wakilimo ili nao wafanye mazoezi nyumbani sio kilimo cha kuokoa nchi.

Tafsiri ya uchumi nnayoikubali ni ya Adam Smith, inquiry into a nature

HOJA: Sera zijikite kwenye kuzalisha wakulima na sio kuwafariji Peasants


Signed:

Oedipus

Kwenye kiswahili tuna neno moja kwa maneno hayo mawili ya kiingereza, Mkulima. Lakini watu wanaoweza kuilisha nchi ni ‘Farmers’ sio ‘peasants’. Kwa tafsiri sahihi, ‘Peasant’ ni mtu anayelima ili kujazia padogo palipopungua. Hawa huwa wanalima kwa kile kitu tunaita ‘subsistance economy’ just for consumption. Ila pia hata kwa namna hiyo, mazao yao huwa hayawatoshi na hulazimika kununua miezi kadhaa baada ya msimu wa mavuno kuisha

Tumesikia kuwa, Tanzania ina wakulima zaidi ya 50% hizi ni takwimu zisizozingatia tofauti ya maneno tajwa hapo juu. Kama wakulima ni asilimia hizo, ama kwa hakika tusingekuwa tuna-import chakula zaidi tungekuwa ni exporters wakubwa wa bidhaa za kilimo

Hii inaonyesha kuwa tumeshindwa kuona mkulima haswa wa kumpa mazingira bora ni yupi, tumebaki kuwaambia vijana wakalime huku tukijua fika hawana mitaji. Wengine wanasema mitaji ipo, anza kidogo kidogo, yote haya yanasisitiza kilimo cha small scale ambacho ni u-peasant na sio ukulima

Taja wakulima kama kina Summry ambao wanalima mashamba ya kutosha na wamejiwekeza kwa mabilioni ya pesa. Leo unampa kijana laki 6 akalime, ili umuite mkulima, ukuze uchumi. Wakati chakula atakachozalisha hakitoshi kumlisha hata yeyey mwenyewe kwa mwaka mmoja. Kuna mkulima hapo?

Mahusiano ya kiuchumi hubadilika muda na muda, kilimo kilianza kwa ile wanaita labor intensive technique, ambayo ilionekana kuwa ni muhimu kipindi kile cha Nyerere, though tulikuwa nyuma ya muda.

Kipindi kile wakawa na kauli ya KILIMO CHA KUFA NA KUPONA, ilikuwa hivyo ili vijana wasikae kijiweni. Lakini mtu hafui dafu kwenye teknolojia, na hata KILIMO CHA KUFA NA KUPONA hakikuwa na matunda kwa kuwa baadae tukaanza kuagiza chakula kutoka nje, (Japo hapa zipo sababu tofauti tofauti tofauti)

Baadae tukaja na kauli KILIMO UTI WA MGONGO, watu wakaima sana, lakini bado hatukutambua kuwa kilimo hiko kilikuwa hakijalenga kwenye kubadili mfumo wa kutoka kwenye labour intensive kuja kwenye Capital Intensive technique, kilimo uti wa mgongo kikaenda na maji

Tumekuja kwenye KILIMO KWANZA, tunachukua mawazo yasiyo na tija kuyatumia na bado tunapata shida zilezile za awali. Tunasema wakulima zaidi ya 50% Corona imetutisha kidogo tu, tunaona upeo wa njaa, sasa hao wakulima asilimia 85 walikuwa wanlima nini? Walicholima kikowapi kituokoe kwenye kipindi hiki

Wala hatutakiwi kuruka stage, kama hiyo ya kubaki kwenye jembe la mkono kuhamia kwenye hydrospony, huko ni mbali bado ardhi ipo na ina rutuba, inapaswa kutumika. Wala tusikimbilie teknolojia kwa sababu fulani anafanya bali kuangalia tija yake.

Hizo hydrospony ziwe kwa kilimo bustani na mashamba darasa kwa maprofesa wakilimo ili nao wafanye mazoezi nyumbani sio kilimo cha kuokoa nchi.

Tafsiri ya uchumi nnayoikubali ni ya Adam Smith, inquiry into a nature

HOJA: Sera zijikite kwenye kuzalisha wakulima na sio kuwafariji Peasants


Signed:

Oedipus
Uko sahihi but kuna vitu nataka kuongeza kidogo. Kwanza kabisa kwa takwimu za sasa Tanzania ina wakulima zaidi ya 75%. Kwenye Agricultural Production Economics kuna concept mbili yaani scale na farm size. Farm size inahusu eneo la shamba bila kujali hilo shamba linazalisha kiasi gani yaani farm productivity. Lakini unapozungumzia scale ni kwamba unalizungumzia shamba kama rasilimali (RESOURCE).

Kwa hiyo hapo unakuja na kitu kinaitwa Small scale, Medium scale na Large scale farmers. Neno scale linaonesha kiwango cha resources anazotumia mkulima katka uzalishaji mojawapo ikiwa ni ardhi, nguvukazi, mtaji na usimamizi. Kwa hiyo kwa sasa tanzania kuna small scale farmers hatuna peasant farmers. Peasant ni mkulima ambaye analima kwa ajili ya familia yake tu kwa maana kwamba hauzi nje ya familia. Lakini ukiangalia wakulima wadogo sasa hivi wengine wanasafirisha mpaka nje ya nchi.

Yaani kwa kiasi fulani wako connected na masoko then uchumi wa taifa.Rejea Market Induced Development Model utaone wakulima wadogo wengi wamekuwa connected na main economy. Tatizo kubwa kwa sasa ni kwamba smàll scàle farmers walio wengi hawatumi sana teknologia za kilimo ili kuongeza tija yaani productivity. Lakini hata hivyo, ukilinganisha na zamani sasa hivi wengi wanatumia baadhi ya teknologia. Nikija kwenye hoja ya kuongeza farmers badala ya peasants ni kwamba kinachotakiwa kuongezwa ni matumizi ya teknol gia kwenye kilimo ili kuongeza productivity per unit area badala ya kuongeza farmers.

Kwa kufanya hivyo mtaji wa serikàli utaongezeka kupitia kodi mbalimbali na hivyo serikali kwa kushirikiana na wawekezaji watakuwa na uwezo wa kujenga viwanďa. Viwanda hivi vita nyonya nguvukazi iliyopo vijijini na kufanya kazi viwandani. Kwa kutumia teknologia ya kutosha kilimo sasa kitakuwa capital intensive badala ya labour intensive kama kilivyo sasa.

Kikiwa capital intensive ina maana wakulima wachache wenye uwezo ndo watakuwa kwenye kilimo. Kwa hiyo ukisikia nchi ina wKulima wengi maana yake ni kwamba hiyo nchi ni maskini. Marekani wana wakulina humma 2.5% tu lakini kwa sababu ya teknologia ya hali ya juu wana uwezo wa kulisha Afrika nzima.

Mzee nyerere alianzisha huu kwa kuanzisha viwanda vingi ambavyo vilikuwa vinatumia mali ghafi za mashambani lakinni mabadiliko ya sera za kidunia akakwamishwa lakini Mh. Magufuli naona amekuja na kauli mbiu ya Tanzania ya viwanda ngoja tuone huenda akafanikiwa.

Làkini duniani kote maendeleo yalianza na kilimo then yakahamisha resources kutoka kwenye kilimo kwenda viwandani. Kwa hiyo ishu siyo kuongeza farmerss au peasants ishu ni kuongeza teknologia Katika kilimo ili kuongeza productivity. Na unapoongeza teknologia maanaake kilimo kitakuwa capital intensive kama ulivyosema.
Kwenye kiswahili tuna neno moja kwa maneno hayo mawili ya kiingereza, Mkulima. Lakini watu wanaoweza kuilisha nchi ni ‘Farmers’ sio ‘peasants’. Kwa tafsiri sahihi, ‘Peasant’ ni mtu anayelima ili kujazia padogo palipopungua. Hawa huwa wanalima kwa kile kitu tunaita ‘subsistance economy’ just for consumption. Ila pia hata kwa namna hiyo, mazao yao huwa hayawatoshi na hulazimika kununua miezi kadhaa baada ya msimu wa mavuno kuisha

Tumesikia kuwa, Tanzania ina wakulima zaidi ya 50% hizi ni takwimu zisizozingatia tofauti ya maneno tajwa hapo juu. Kama wakulima ni asilimia hizo, ama kwa hakika tusingekuwa tuna-import chakula zaidi tungekuwa ni exporters wakubwa wa bidhaa za kilimo

Hii inaonyesha kuwa tumeshindwa kuona mkulima haswa wa kumpa mazingira bora ni yupi, tumebaki kuwaambia vijana wakalime huku tukijua fika hawana mitaji. Wengine wanasema mitaji ipo, anza kidogo kidogo, yote haya yanasisitiza kilimo cha small scale ambacho ni u-peasant na sio ukulima

Taja wakulima kama kina Summry ambao wanalima mashamba ya kutosha na wamejiwekeza kwa mabilioni ya pesa. Leo unampa kijana laki 6 akalime, ili umuite mkulima, ukuze uchumi. Wakati chakula atakachozalisha hakitoshi kumlisha hata yeyey mwenyewe kwa mwaka mmoja. Kuna mkulima hapo?

Mahusiano ya kiuchumi hubadilika muda na muda, kilimo kilianza kwa ile wanaita labor intensive technique, ambayo ilionekana kuwa ni muhimu kipindi kile cha Nyerere, though tulikuwa nyuma ya muda.

Kipindi kile wakawa na kauli ya KILIMO CHA KUFA NA KUPONA, ilikuwa hivyo ili vijana wasikae kijiweni. Lakini mtu hafui dafu kwenye teknolojia, na hata KILIMO CHA KUFA NA KUPONA hakikuwa na matunda kwa kuwa baadae tukaanza kuagiza chakula kutoka nje, (Japo hapa zipo sababu tofauti tofauti tofauti)

Baadae tukaja na kauli KILIMO UTI WA MGONGO, watu wakaima sana, lakini bado hatukutambua kuwa kilimo hiko kilikuwa hakijalenga kwenye kubadili mfumo wa kutoka kwenye labour intensive kuja kwenye Capital Intensive technique, kilimo uti wa mgongo kikaenda na maji

Tumekuja kwenye KILIMO KWANZA, tunachukua mawazo yasiyo na tija kuyatumia na bado tunapata shida zilezile za awali. Tunasema wakulima zaidi ya 50% Corona imetutisha kidogo tu, tunaona upeo wa njaa, sasa hao wakulima asilimia 85 walikuwa wanlima nini? Walicholima kikowapi kituokoe kwenye kipindi hiki

Wala hatutakiwi kuruka stage, kama hiyo ya kubaki kwenye jembe la mkono kuhamia kwenye hydrospony, huko ni mbali bado ardhi ipo na ina rutuba, inapaswa kutumika. Wala tusikimbilie teknolojia kwa sababu fulani anafanya bali kuangalia tija yake.

Hizo hydrospony ziwe kwa kilimo bustani na mashamba darasa kwa maprofesa wakilimo ili nao wafanye mazoezi nyumbani sio kilimo cha kuokoa nchi.

Tafsiri ya uchumi nnayoikubali ni ya Adam Smith, inquiry into a nature

HOJA: Sera zijikite kwenye kuzalisha wakulima na sio kuwafariji Peasants


Signed:

Oedipus
Upo sahihi lakini kuna vitu nataka niviweka sawa sawa. Kwenye agriculturaĺ
Kwenye kiswahili tuna neno moja kwa maneno hayo mawili ya kiingereza, Mkulima. Lakini watu wanaoweza kuilisha nchi ni ‘Farmers’ sio ‘peasants’. Kwa tafsiri sahihi, ‘Peasant’ ni mtu anayelima ili kujazia padogo palipopungua. Hawa huwa wanalima kwa kile kitu tunaita ‘subsistance economy’ just for consumption. Ila pia hata kwa namna hiyo, mazao yao huwa hayawatoshi na hulazimika kununua miezi kadhaa baada ya msimu wa mavuno kuisha

Tumesikia kuwa, Tanzania ina wakulima zaidi ya 50% hizi ni takwimu zisizozingatia tofauti ya maneno tajwa hapo juu. Kama wakulima ni asilimia hizo, ama kwa hakika tusingekuwa tuna-import chakula zaidi tungekuwa ni exporters wakubwa wa bidhaa za kilimo

Hii inaonyesha kuwa tumeshindwa kuona mkulima haswa wa kumpa mazingira bora ni yupi, tumebaki kuwaambia vijana wakalime huku tukijua fika hawana mitaji. Wengine wanasema mitaji ipo, anza kidogo kidogo, yote haya yanasisitiza kilimo cha small scale ambacho ni u-peasant na sio ukulima

Taja wakulima kama kina Summry ambao wanalima mashamba ya kutosha na wamejiwekeza kwa mabilioni ya pesa. Leo unampa kijana laki 6 akalime, ili umuite mkulima, ukuze uchumi. Wakati chakula atakachozalisha hakitoshi kumlisha hata yeyey mwenyewe kwa mwaka mmoja. Kuna mkulima hapo?

Mahusiano ya kiuchumi hubadilika muda na muda, kilimo kilianza kwa ile wanaita labor intensive technique, ambayo ilionekana kuwa ni muhimu kipindi kile cha Nyerere, though tulikuwa nyuma ya muda.

Kipindi kile wakawa na kauli ya KILIMO CHA KUFA NA KUPONA, ilikuwa hivyo ili vijana wasikae kijiweni. Lakini mtu hafui dafu kwenye teknolojia, na hata KILIMO CHA KUFA NA KUPONA hakikuwa na matunda kwa kuwa baadae tukaanza kuagiza chakula kutoka nje, (Japo hapa zipo sababu tofauti tofauti tofauti)

Baadae tukaja na kauli KILIMO UTI WA MGONGO, watu wakaima sana, lakini bado hatukutambua kuwa kilimo hiko kilikuwa hakijalenga kwenye kubadili mfumo wa kutoka kwenye labour intensive kuja kwenye Capital Intensive technique, kilimo uti wa mgongo kikaenda na maji

Tumekuja kwenye KILIMO KWANZA, tunachukua mawazo yasiyo na tija kuyatumia na bado tunapata shida zilezile za awali. Tunasema wakulima zaidi ya 50% Corona imetutisha kidogo tu, tunaona upeo wa njaa, sasa hao wakulima asilimia 85 walikuwa wanlima nini? Walicholima kikowapi kituokoe kwenye kipindi hiki

Wala hatutakiwi kuruka stage, kama hiyo ya kubaki kwenye jembe la mkono kuhamia kwenye hydrospony, huko ni mbali bado ardhi ipo na ina rutuba, inapaswa kutumika. Wala tusikimbilie teknolojia kwa sababu fulani anafanya bali kuangalia tija yake.

Hizo hydrospony ziwe kwa kilimo bustani na mashamba darasa kwa maprofesa wakilimo ili nao wafanye mazoezi nyumbani sio kilimo cha kuokoa nchi.

Tafsiri ya uchumi nnayoikubali ni ya Adam Smith, inquiry into a nature

HOJA: Sera zijikite kwenye kuzalisha wakulima na sio kuwafariji Peasants


Signed:

Oedipus
 
Kwenye kiswahili tuna neno moja kwa maneno hayo mawili ya kiingereza, Mkulima. Lakini watu wanaoweza kuilisha nchi ni ‘Farmers’ sio ‘peasants’. Kwa tafsiri sahihi, ‘Peasant’ ni mtu anayelima ili kujazia padogo palipopungua. Hawa huwa wanalima kwa kile kitu tunaita ‘subsistance economy’ just for consumption. Ila pia hata kwa namna hiyo, mazao yao huwa hayawatoshi na hulazimika kununua miezi kadhaa baada ya msimu wa mavuno kuisha

Tumesikia kuwa, Tanzania ina wakulima zaidi ya 50% hizi ni takwimu zisizozingatia tofauti ya maneno tajwa hapo juu. Kama wakulima ni asilimia hizo, ama kwa hakika tusingekuwa tuna-import chakula zaidi tungekuwa ni exporters wakubwa wa bidhaa za kilimo

Hii inaonyesha kuwa tumeshindwa kuona mkulima haswa wa kumpa mazingira bora ni yupi, tumebaki kuwaambia vijana wakalime huku tukijua fika hawana mitaji. Wengine wanasema mitaji ipo, anza kidogo kidogo, yote haya yanasisitiza kilimo cha small scale ambacho ni u-peasant na sio ukulima

Taja wakulima kama kina Summry ambao wanalima mashamba ya kutosha na wamejiwekeza kwa mabilioni ya pesa. Leo unampa kijana laki 6 akalime, ili umuite mkulima, ukuze uchumi. Wakati chakula atakachozalisha hakitoshi kumlisha hata yeyey mwenyewe kwa mwaka mmoja. Kuna mkulima hapo?

Mahusiano ya kiuchumi hubadilika muda na muda, kilimo kilianza kwa ile wanaita labor intensive technique, ambayo ilionekana kuwa ni muhimu kipindi kile cha Nyerere, though tulikuwa nyuma ya muda.

Kipindi kile wakawa na kauli ya KILIMO CHA KUFA NA KUPONA, ilikuwa hivyo ili vijana wasikae kijiweni. Lakini mtu hafui dafu kwenye teknolojia, na hata KILIMO CHA KUFA NA KUPONA hakikuwa na matunda kwa kuwa baadae tukaanza kuagiza chakula kutoka nje, (Japo hapa zipo sababu tofauti tofauti tofauti)

Baadae tukaja na kauli KILIMO UTI WA MGONGO, watu wakaima sana, lakini bado hatukutambua kuwa kilimo hiko kilikuwa hakijalenga kwenye kubadili mfumo wa kutoka kwenye labour intensive kuja kwenye Capital Intensive technique, kilimo uti wa mgongo kikaenda na maji

Tumekuja kwenye KILIMO KWANZA, tunachukua mawazo yasiyo na tija kuyatumia na bado tunapata shida zilezile za awali. Tunasema wakulima zaidi ya 50% Corona imetutisha kidogo tu, tunaona upeo wa njaa, sasa hao wakulima asilimia 85 walikuwa wanlima nini? Walicholima kikowapi kituokoe kwenye kipindi hiki

Wala hatutakiwi kuruka stage, kama hiyo ya kubaki kwenye jembe la mkono kuhamia kwenye hydrospony, huko ni mbali bado ardhi ipo na ina rutuba, inapaswa kutumika. Wala tusikimbilie teknolojia kwa sababu fulani anafanya bali kuangalia tija yake.

Hizo hydrospony ziwe kwa kilimo bustani na mashamba darasa kwa maprofesa wakilimo ili nao wafanye mazoezi nyumbani sio kilimo cha kuokoa nchi.

Tafsiri ya uchumi nnayoikubali ni ya Adam Smith, inquiry into a nature

HOJA: Sera zijikite kwenye kuzalisha wakulima na sio kuwafariji Peasants


Signed:

Oedipus
Mkuu thread kama hizi zitunze kwanza hadi hali itakavyopoa. Sasa ni mwendo wa kujadili kovid bin virus
 
Mada Kama hizi huwa hazina wachangiaji si kwamba ni Mada mbaya Hapana ila watanzania tumezoea Mada za umbea burudan Nas za kufikirisha namna ya kutoboa kimaisha kupitia kilimo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uko sahihi lakini hata huyo peasant haitwi peasant tu but anaitwa peasant farmer. Kwenye agricultural production economics kuna concept ya farm size nà


Uko sahihi but kuna vitu nataka kuongeza kidogo. Kwanza kabisa kwa takwimu za sasa Tanzania ina wakulima zaidi ya 75%. Kwenye Agricultural Production Economics kuna concept mbili yaani scale na farm size. Farm size inahusu eneo la shamba bila kujali hilo shamba linazalisha kiasi gani yaani farm productivity. Lakini unapozungumzia scale ni kwamba unalizungumzia shamba kama rasilimali (RESOURCE). Kwa hiyo hapo unakuja na kitu kinaitwa Small scale, Medium scale na Large scale farmers. Neno scale linaonesha kiwango cha resources anazotumia mkulima katka uzalishaji mojawapo ikiwa ni ardhi, nguvukazi, mtaji na usimamizi. Kwa hiyo kwa sasa tanzania kuna small scale farmers hatuna peasant farmers. Peasant ni mkulima ambaye analima kwa ajili ya familia yake tu kwa maana kwamba hauzi nje ya familia. Lakini ukiangalia wakulima wadogo sasa hivi wengine wanasafirisha mpaka nje ya nchi. Yaani kwa kiasi fulani wako connected na masoko then uchumi wa taifa.Rejea Market Induced Development Model utaone wakulima wadogo wengi wamekuwa connected na main economy. Tatizo kubwa kwa sasa ni kwamba smàll scàle farmers walio wengi hawatumi sana teknologia za kilimo ili kuongeza tija yaani productivity. Lakini hata hivyo, ukilinganisha na zamani sasa hivi wengi wanatumia baadhi ya teknologia. Nikija kwenye hoja ya kuongeza farmers badala ya peasants ni kwamba kinachotakiwa kuongezwa ni matumizi ya teknol gia kwenye kilimo ili kuongeza productivity per unit area badala ya kuongeza farmers. Kwa kufanya hivyo mtaji wa serikàli utaongezeka kupitia kodi mbalimbali na hivyo serikali kwa kushirikiana na wawekezaji watakuwa na uwezo wa kujenga viwanďa. Viwanda hivi vita nyonya nguvukazi iliyopo vijijini na kufanya kazi viwandani. Kwa kutumia teknologia ya kutosha kilimo sasa kitakuwa capital intensive badala ya labour intensive kama kilivyo sasa. Kikiwa capital intensive ina maana wakulima wachache wenye uwezo ndo watakuwa kwenye kilimo. Kwa hiyo ukisikia nchi ina wKulima wengi maana yake ni kwamba hiyo nchi ni maskini. Marekani wana wakulina humma 2.5% tu lakini kwa sababu ya teknologia ya hali ya juu wana uwezo wa kulisha Afrika nzima.Mzee nyerere alianzisha huu kwa kuanzisha viwanda vingi ambavyo vilikuwa vinatumia mali ghafi za mashambani lakinni mabadiliko ya sera za kidunia akakwamishwa lakini Mh. Magufuli naona amekuja na kauli mbiu ya Tanzania ya viwanda ngoja tuone huenda akafanikiwa. Làkini duniani kote maendeleo yalianza na kilimo then yakahamisha resources kutoka kwenye kilimo kwenda viwandani. Kwa hiyo ishu siyo kuongeza farmerss au peasants ishu ni kuongeza teknologia Katika kilimo ili kuongeza productivity. Na unapoongeza teknologia maanaake kilimo kitakuwa capital intensive kama ulivyosema.

Upo sahihi lakini kuna vitu nataka niviweka sawa sawa. Kwenye agriculturaĺ
Salaam!

Nashkuru kwa mchango wako mkubwa sana.

Natumaini kuwa utakuwa ni Agricultural Economist,

Nirudi huku mkuu,

Je mkuu unafikiri small scale people, wakiwa asilimia ngapi wanaweza kuihami nchi kipindi cha majanga?
Wapo vijana wanaingia kwenye kilimo cha kisasa, wakiwa wanaanguka kwenye hiyo ctegory ya small scale, Je unadhani wao wanaona umuhimu wa advanced technology inapokuja swala la kilimo?

Akhsante sana
 
Observation nzuri mleta thread, Ninapokuwa safarini wilaya kwa wilaya, vijiji kwa vijiji, huwa naangalia mashamba makubwa makubwa walimayo wakulima wetu, naangalia aina ya mimea iliyoota, kama ni mahindi naangali jinsi yalivyobeba madogo madogo, membamba hayana afya... nasikitika na kujisema moyoni aina hii ya kilimo haitakaa imkomboe Mtanzania huyu, ukifananisha nguvu inayotumika na mavuno anayopata ni huruma sana.

Kuna kipindi serikali ilitoa mbegu bora za mahindi zisambazwe vijijini, waliopewa dhamana hiyo walifanya mambo ya aibu, walikuwa wanatoa zile mbegu kwenye package zake wanajaza mahindi ya kawaida wanaweka na ile dawa ya pink (sijui inaitwaje) ili yafanane na mbegu iliyotewa na serikali, then wanaenda kuyagawa kwa wakulima, zile mbegu wanaenda kuziuza kwa wakulima matajiri wanaoweza kuzinunua.
 
Bado kuna ombwe kubwa sana baina ya jitihada za kufanisi uchumi wataifa na jitihada za kuwekeza katika kilimo bora. Hatuwezi kupiga hatua ya kiuchumi bila kuwekeza katika kilimo bora. Awamu ya tano ilikuja na sera ya viwanda. Je vieanda vya aina gani? Malighafi za viwanda zinatoja wapi kama sio shambani?

Tumejaaliwa ardhi yenye rutuba, mito,maziwa na mabonde yenye kumea kila namna ya mazao. Lakini kwa bahatimbaya hatuna mikakati mizuri ya kilimo cha uzalishaji.
 
Mkuu ungegusia markets, physical infrastructures, embracing science and technology in agriculture and agri-inputs support ingeeleweka vyema zaidi
 
Mkuu ungegusia markets, physical infrastructures, embracing science and technology in agriculture and agri-inputs support ingeeleweka vyema zaidi
Sekta ya kilimo, hasa cha hawa farmers kinahusisha technolojia moja kwa moja, masoko hujitengeneza kutokana na output kubwa inayotokana na tija ya kilimo hiko
Ila masoko huathiriwa na siasa, mara nyingine huweka sheria za kuzia watu kupeleka bidhaa soko lilipo nk.

Sasa sera itapaswa kuangalia intedependency ya kilimo, viwanda na masoko
 
Back
Top Bottom