Jambo hili linakera. Benki Kuu ni regulator. Leo nchi hii kuna zaidi ya 60. Wingi wa Benki ungeleta competition among them, ambayo ni kampuni ya kiuchumi.
Badala ya.ku compete yanakuwa na cartels za kututesa.
The same ina apply kwenye huduma zote zilizoachiwa watu/makampuni binafsi.
Regulators...
Nadhani kule Adam kuna watu wanafahsmu mpira. Sio hawa wapiga dili wa Yanga na Simba. Walimfukuza Omog kwa ku "under perform ", wakamwaga wachezaji "mizigo" JB na SK,o Simba ikawadaka.In exchange ikamtimua (??) Ibrahim Ajib!
Serembe wa Zanzibar Horoes.amezunguka karibuni nusu ya timu za VPL...
Salaam aleikhum!
Kisheria, mahakama unaweza kufanya, au kuagiza kufanyiwa jambo lolote, wapo kwa kufanyika jambo hilo, kutaiwezesha mahakama kufika uamuzi wa haki kuhusu jambo lililo mbele yake.
Aidha ikiamuru jambo lifanyike halafu mlengwa akagoma mahakama itachukualia jambo hilo kwa...
Kiongozi huko Ntwala iko sehemu inaitwa Nkaanalendi.
Kutohoa ni kubadilisha majina kutoka yaliyo kwa lugha moja na kuyatamka kwa lugha yenu.. Mf. Police (polisi), Cowway (Kawe), Mussa Hassan (Msasani) nk.
Nchi pekee iliyoendelea kwa dini ni Roma, sadaka za dhahabu fedha na vito, ukwepaji mkubwa wa kodi ndiyo mtaji wao"-Roma haikuwepi kodi. Makubaliano ya Rome kunilipa kid I yalifikiwa kati ya Vatican na serikali ya Dikteta Musolini. Vatican iliomba kusamehewa kid I na enyewe, kupitia ushawishi...
A few factual errors: "China ni miongonij mwa nchi zenye waumini wachache"-Dini za Confusius na Buddhism zona waumini wengi kuliko Wakristo na waislamu combined!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.