Anayejua kuhusu Nigeria anisaidie, nina safari ya kuzulu huko

Wa Nigeria wako rude sana kuanzia airport wale wafanya kazi wanaongea kama wanagomba hivi wewe jua ndio walivyo.

Pili pamoja na exposure walionayo bado wanagombania kuingia kwenye ndege wakati kila mtu ana seat number yake,wakati unafanya connection pale Adis au Kigali kama unapitia huko utaona kituko hiki.

Ukifika kule utaiheshimu sana Tanzania watu wamekula hela ya mafuta hata miundo mbinu kama barabara ni duni tofauti na highways ambazo zinaonekana kwenye movie.

Ukienda dukani ,wakati unatoa hela unatia kwenye ndoo utakayo ikuta pembeni. Hawana desturi ya kupeana hela mkononi.

Chakula chao hakina ladha huo wali du..wana menyu yao maarufu makande yanachanganywa na Samaki utatupa mrejesho ukiila.

Mbilikimo ni weengi sana na mbuzi wao ni mbegu fupi sana utawashangaa.

Pamoja na kuwa na mafuta umeme unakatika saaana so powerbank muhimu.

Line ya airtel ya huku inafanya kazi kule ila voucher inabidi mtu wa huku awe anakurushia.
unafaa kuwa mwandishi wa habari
 
Usitarajie msaada, kutoka kwao ni wao ndiyo wanataka uwatoe neira za siku kuu kama.unasafiri hivi karibuni.

Usimwamini mtu anayekuelekeza kitu hasa kwa kukupereka eneo au ofisi.

Kila kitu kwao wanataka wapate faida mfano, bei ya vitu ukiwa mgeni ni lazima ipande mara mbili hadi mara tatu ya bei ya kawaida.

Hawana urafiki wa thati

Rushwa na ujanjaujanja ndiyo kwao polisi hadi mtaani.

Na mengine mengi yaliyotajwa hapo juu.
 
Tafuta kitabu kinaitwa "The Trouble with Nigeria" cha Chinua Achebe. Kinaelezea kila kitu kuhusu Nigeria, wanigeria na watawala wao
 
Wa Nigeria wako rude sana kuanzia airport wale wafanya kazi wanaongea kama wanagomba hivi wewe jua ndio walivyo.

Pili pamoja na exposure walionayo bado wanagombania kuingia kwenye ndege wakati kila mtu ana seat number yake,wakati unafanya connection pale Adis au Kigali kama unapitia huko utaona kituko hiki.

Ukifika kule utaiheshimu sana Tanzania watu wamekula hela ya mafuta hata miundo mbinu kama barabara ni duni tofauti na highways ambazo zinaonekana kwenye movie.

Ukienda dukani ,wakati unatoa hela unatia kwenye ndoo utakayo ikuta pembeni. Hawana desturi ya kupeana hela mkononi.

Chakula chao hakina ladha huo wali du..wana menyu yao maarufu makande yanachanganywa na Samaki utatupa mrejesho ukiila.

Mbilikimo ni weengi sana na mbuzi wao ni mbegu fupi sana utawashangaa.

Pamoja na kuwa na mafuta umeme unakatika saaana so powerbank muhimu.

Line ya airtel ya huku inafanya kazi kule ila voucher inabidi mtu wa huku awe anakurushia.

niliona Adis nikabaki kutoa macho
 
Usitarajie msaada, kutoka kwao ni wao ndiyo wanataka uwatoe neira za siku kuu kama.unasafiri hivi karibuni.

Usimwamini mtu anayekuelekeza kitu hasa kwa kukupereka eneo au ofisi.

Kila kitu kwao wanataka wapate faida mfano, bei ya vitu ukiwa mgeni ni lazima ipande mara mbili hadi mara tatu ya bei ya kawaida.

Hawana urafiki wa thati

Rushwa na ujanjaujanja ndiyo kwao polisi hadi mtaani.

Na mengine mengi yaliyotajwa hapo juu.
Hii ya kuelekeza mahali ni kweli kabisa.yaan nilikua naenda gbagada estate nilipotezwa kabisaaa.ila kila unaemuuliza hataki kukubali kama hapajui ila yuko radhi akuelekeze vya uongo.so ujue ramani ya unakokwenda usiulizie njiani.chakula chao kina pilipili nyingi sanaa.kama ni lagos ni pachafu kwenye usafi bado wale.utekaji na serial killing ni kwa kiwango cha juu so hakikisha unaenda maeneo salama tu hili ni muhimu sana.kuna mwanafunzi wa kutoka bongo alikua anasoma chuo kimoja pale lagos na kumbe ubalozi haukua na taarifa.siku moja kaenda mjini akagongwa na bahati mbaya akafariki.baadae sana ndo wamekuja kutoa taarifa ubalozini na sasa taarifa zake hazikiwapo.ni ubinadamu tu wakafanya kusafirisha mwili kuuleta hapa bongo.crime rate iko kwa kiwango cha juu sana.kikubwa take care na usiwaamini sana wale.
 
Wa Nigeria wako rude sana kuanzia airport wale wafanya kazi wanaongea kama wanagomba hivi wewe jua ndio walivyo.

Pili pamoja na exposure walionayo bado wanagombania kuingia kwenye ndege wakati kila mtu ana seat number yake,wakati unafanya connection pale Adis au Kigali kama unapitia huko utaona kituko hiki.

Ukifika kule utaiheshimu sana Tanzania watu wamekula hela ya mafuta hata miundo mbinu kama barabara ni duni tofauti na highways ambazo zinaonekana kwenye movie.

Ukienda dukani ,wakati unatoa hela unatia kwenye ndoo utakayo ikuta pembeni. Hawana desturi ya kupeana hela mkononi.

Chakula chao hakina ladha huo wali du..wana menyu yao maarufu makande yanachanganywa na Samaki utatupa mrejesho ukiila.

Mbilikimo ni weengi sana na mbuzi wao ni mbegu fupi sana utawashangaa.

Pamoja na kuwa na mafuta umeme unakatika saaana so powerbank muhimu.

Line ya airtel ya huku inafanya kazi kule ila voucher inabidi mtu wa huku awe anakurushia.
Nakubaliana na wewe kwa tabia zao ulizoorodhesha. Vyakula vya vibaya sana na wanatia pilipili kuliko Baniani. Huyu ndugu awe makini wakijua ana hela wanaweza kumfanya chochote. Kuongea kwa makelele ndiyo tabia yao na wakiongea Broken English yao 'Pidgin English' ndiyo balaa. Na wanapenda kujisifu hata wale waliotoka kijijini kabisa hata mjini hawakujui. Hasa Eboh tribe.
 
Sijui chochote, ukihitaji mtu wa kukufotoa nicheki twende wote

Evelyn Salt ,
Mkuu,
Haaa haaaa haaa haaaa.

Siku hizi vijana wa leo wanabeba vijiti vya selfie kwenye vile vimabegi vyao vya mgongoni.

Ila siyo mbaya endelea kumtumia huyo.kijana maombi uone kama utafikisha lengo lako la kwenda nae ukamfotoe.
 
Hii ya kuelekeza mahali ni kweli kabisa.yaan nilikua naenda gbagada estate nilipotezwa kabisaaa.ila kila unaemuuliza hataki kukubali kama hapajui ila yuko radhi akuelekeze vya uongo.so ujue ramani ya unakokwenda usiulizie njiani.chakula chao kina pilipili nyingi sanaa.kama ni lagos ni pachafu kwenye usafi bado wale.utekaji na serial killing ni kwa kiwango cha juu so hakikisha unaenda maeneo salama tu hili ni muhimu sana.kuna mwanafunzi wa kutoka bongo alikua anasoma chuo kimoja pale lagos na kumbe ubalozi haukua na taarifa.siku moja kaenda mjini akagongwa na bahati mbaya akafariki.baadae sana ndo wamekuja kutoa taarifa ubalozini na sasa taarifa zake hazikiwapo.ni ubinadamu tu wakafanya kusafirisha mwili kuuleta hapa bongo.crime rate iko kwa kiwango cha juu sana.kikubwa take care na usiwaamini sana wale.

SWEET GIRL ,
Mkuu,
Kwa kifupi Nigeria huyo kijana anatakiwa aelewe kuwa hupaswi kumwamini mtu.

Hadi askari wao wakijua unadollars za kutosha wanakugonga chuma.

Au wanakuelekeza waliko vibaka wa kwenye network yao ili wakubabue dollars zote kisha watawapa hao askari chao badae.

Kwa hiyo, Nigeria unahitaji kuwa na ramani kamili na usiulize sana.
 
Wakuu mwenye information yeyote muhimu kuhusu Nigeria anisaidie nisipate shida nikiwa huku jokes matan vyovyote vya huko we sema unaruhusiwa!!!
Kuwa tu makini usije ukatapeliwa maana Nigeria ndio matapeli wanakopikiwa.Angalia pia usije ukabadili fani ukarudi ukiwa Nabii fake.
 
Kwa mfano, hii ya kupambana kuingia kwenye ndege japo kila mtu ana tiketi yenye siti namba.

Iko katika pande mbili.

1. Waliupata utaratibu huo kutoka central Africa. (Hasa nchi ya Kameruni) wao wanakimbilia kupanda ndege. Kwa sababu ya huduma mbovu na uhaba wa ndege walichokifanya ni kuwa wanakatisha tiketi kupita idadi yaani uwezo wa siti za ndege hivyo, ndege yao inayokuja basi wanaingiza abilia kama kwenye daladala hadi ikijaa. Sasa, mnaokuwa bado hamjapanda mnasubiria ndege nyingine ije au iliyoondoka hadi irudi tena. Ndivyo walivyokifunza kukimbilia kwenda panda ndege.

2. Wanaijeria wenyewe ni wahuni wa MADAWA ya KULEVYA. Wakati mnapambana kuingia yeye anaweza akakuwekea chochote kwenye mifuko yako au vimkoba vyako mwisho wa siku unashuka unadakwa kwa kubeba unga .

Ila ukifanikiwa kupita bila kukamatwa huko viwanjani basi, ukitoka tu nje ya uwanjani wanakuteka ili wakachukue mzigo wao.

Hivyo unahitaji umakini sana kwenye Viwanja vyao vya ndege.

Japo, hiyo ya kukimbilia kupanda kwenye ndege sasa hivi ilipungua sana kama siyo kuisha kabisa maana , ndege za mashirika binafsi zimeongezeka sana.
 
baba swalehe ,
Mkuu,
Umesafiri au bado!?
Au umefika vijana wa buhari wamesema "Oga , me hunger na eat oooooooh"

Maana, hawachelewi kabisaaa, kupiga mizinga.

Mkuu, kumbuka pia sasa miaka zaidi ya 10+ kuna Boko haram angalia usije tekwa na kuwa mpiganaji au ukafungwa mabomu ukaripuke mtaani.
 
Back
Top Bottom