Kama mmenunuliwa nyie semeni , maana aiwezekani chadema wawe ndio wanahamia act tu. Ndugu wana cdm na wana mageuzi lazima tuwe makini kwani huku kuna watu mahsusi wameandaliwa kukibomoa chama kwa njia ya mitandao.
Vijana makini lazima tuelewe hizi njama zao .Leo mtunzi wa nyimbo, kesho m4c kesho...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.