Hakuna kitu kama hicho marekani wenyewe wapo kwenye mkakati wakumpata rais hawana habari.
Tangu mwanzo nilijua niuzushi kutokana na taarifa zilizokuwa zikisema marekani imea andaa ma handaki (mapango) kwaajili ya kujificha huku taarifa hiyohiyo, ikieleza kutakuwa na matetemeko mabwa ya ardhi...
Nikweli kwamba hiyo picha ya malkia wa sheba haiwezi kuwa yakweli hata kidogo ila bado haiondoi maana ya hawa watu kufanana tafuta picha halisi za wanawake wa kushi wa India nawa Ethiopia alafu linganisha utaona tofauti ni rangitu
Wana JF natumaini muwazima.
Kama tujuavyo kwamba zamani katika taifa la Ethiopia kulikuwa na Malikia alie julikana kwa jina la Malkia wa Sheba au malikia wa Kushi.
Katika biblia tuna msoma akiwa ame mtembelea Mfalme Sulemani 1 wafalme 10:1-10.Napiya tuna lisoma kabila la Kushi katika Amos 9:7...
Ndoto zingine ni balaaa.
Nakumbuka niliwahi kumtongoza mwanamke mmoja, kwenye ndoto bila ya mimi kujua ni ndoto kesho yake nika jipanga fresh kwaajili ya,kwenda kupiga Mbunye...Nili jifanyia maandalizi yote kwaajili ya kwenda ku sexsika ila wakati nataka kwenda, nyumbani kwa huyo demu nika...
Sio kweli kwamba ndoto huchukuwa dakika moja tu , Ukweli nikwamba ndoto haina muda maalumu, nakumbuka kipindi nasoma ndoto za asubuhi zilikuwa ziki ni chelewesha shule..hai wezekani ndoto ya dakika moja ika nichelewesha kuamka, kwa vyovyote vile ndoto zikuwa ni ndefu.
Mambo mengine niya ajabu sana, naya kufikirisha sana unaweza kujiuliza pia uhusiano kati ya wanadamu na nyota....Inakuwaje paka mtu kutabiriwa maisha yake kutokana na nyota ??
Mungu ana mengi mno kuna vingi bado havija gundulika tu ila vipo vingi tusivyo vijua
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.