kumbe mtoa maada upeeo wake ni mdogo kiasi hicho siku kujua kama albadil imemgeuka kubenea kwahiyo alikuwa pekee yake? nawenzake wapi acha ujinga wasiojulikana wameamua kuturogea kubenea alafu wakatuma nyie mje mtudanganye humu eeeh sisi hatutaki propaganda zenu tena
mbona wewe umechelewa sana mii nishajitoa kitambo angalia hapa stadium arusha ulinzi unavyo imarishwa unafikiri ni trampoamekuja barabara zimefungwa kila kona ukipita karibu unakula kichapo
wangoje lissu aje hapa wata tueleza ni kipi kilichowapekea kutaka kutuulia jemedari wetu na kamwe kwa mapenzi yao watakufa wao lissu ataishi wakishuhudia kwa macho yao ya kinafki
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.