Recent content by Paulcobra

  1. Paulcobra

    Elimu kuhusu uwekezaji kwenye masoko ya fedha na mitaji Tanzania

    Kwa namna gani??ndo hapo nahitaji kufundishwa swala hilo
  2. Paulcobra

    Apps 10 ambazo lazima utumie kwenye simu yako

    Ndo nataka kujifunza namna ya kutumia fursa mtandaon kwa kufanya biashara na mtu anaye jua una kumtangaza
  3. Paulcobra

    Mbunge Taletale: Rais Magufuli nakushukuru kwa kunitoa chini kabisa na kunifikisha juu nikiwa kijana mdogo kabisa bungeni

    Na kidevu yote ile bado anakuita mtoto,au ndo anajishusha ili apandishwe? maana bongo bila kiki mhhhh
  4. Paulcobra

    Apps 10 ambazo lazima utumie kwenye simu yako

    Mhhh,acha masihara muheshimiwa.
  5. Paulcobra

    Apps 10 ambazo lazima utumie kwenye simu yako

    Jamani jamani,naomba kufundishwa na kuunganishwa namna ya kufanya biashara za mitandaoni,na namna ya kubuni biashara kupitia simu maana simu yangu hainiingizii kipato ko natamani nipate faida kupitia sim,tafadhar kwa yeyote anaye juaaa.
  6. Paulcobra

    LATRA yawataka wenye mabasi ya abiria kuanza kutumia tiketi za mtandao, watakaoshindwa kufanya hivyo kufutiwa leseni

    Hao wenye mabasi basi waanzishe mgomo nao wa nchi nzima,maana isije kujitokeza yale ya vitambulisho vya nida,.waliweka kikomo kabla watu hawajaelimishwa zaidi. Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
  7. Paulcobra

    LATRA yawataka wenye mabasi ya abiria kuanza kutumia tiketi za mtandao, watakaoshindwa kufanya hivyo kufutiwa leseni

    Ko!!bila shaka serikali ipo sahihi? Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
  8. Paulcobra

    LATRA yawataka wenye mabasi ya abiria kuanza kutumia tiketi za mtandao, watakaoshindwa kufanya hivyo kufutiwa leseni

    Unafikiri hilo wao hawalifahaam? Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
  9. Paulcobra

    LATRA yawataka wenye mabasi ya abiria kuanza kutumia tiketi za mtandao, watakaoshindwa kufanya hivyo kufutiwa leseni

    [emoji848]bado na waza kwa sauti kubwa nini dhamira haswa, Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom