johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,785
- 141,680
Mbunge wa Morogoro kusini mashariki Khamis Taletale aka Babu Tale amemshukuru Rais Magufuli kwa namna alivyombeba kutoka chini na kumpandisha akiwa kijana mdogo kabisa kule bungeni.
Babu Tale amesema hayo kwenye uzinduzi wa kiwanda cha Mahashree Agro Processing Ltd mjini Morogoro.
Babu Tale amemwomba Rais Magufuli amjengee barabara ya Bigwa kwani yeye hana uwezo.
Chanzo: ITV
Maendeleo hayana vyama!
Babu Tale amesema hayo kwenye uzinduzi wa kiwanda cha Mahashree Agro Processing Ltd mjini Morogoro.
Babu Tale amemwomba Rais Magufuli amjengee barabara ya Bigwa kwani yeye hana uwezo.
Chanzo: ITV
Maendeleo hayana vyama!