SOLVED:
Kuweka application kwa playstore ni one time payment yaani unalipia $25 ambayo ni kama Tsh. 50,000 ili kufunguwa account ambayo ni google console publisher .Ukiwa na hiyo account unaweza upload applications nyingi uwezavyo ilimradi ufuate terms & conditions za google play store.
Una Website/Blog Yako na unahitaji iwe designed na kuwa na muonekano mzuri?
Una website/blog na unahitaji application?
Je unahitaji website kwa ajili ya biashara yako?
KARIBU Tunatengeneza websites/blog na application za kisasa kwa bei nafuu.
Wasiliana nasi kupitia:
Email: Paulchazzy@live.com...
Nilikuwa nahitaji kuweka application kwa playstore ila kuweka Inahitajika $25. Ila tatizo payment method lazima utumie PayPal nami PayPal account sina. Kama kuna ajuaye kutumia payment method nyingine tusaidiane na kama kuna mwenye PayPal account tuwasiliane. Au ambaye anaweza kuniuzia google...
Serikali imesaini mkataba wa mkopo wa Sh. bilioni 240.56 kutoka Serikali ya Poland ili kujenga kiwanda cha kutengeneza matrekta na kuongeza idadi ya maghala ya kuhifadhia nafaka nchini.
Waziri wa Fedha, Saada Mkuya, alitoa kauli hiyo alipokuwa akizungumza kwenye hafla fupi ya makubaliano...
Usiku wa September 24 2015 taarifa ya Majonzi imesambaa na kuwafikia watu kupitia Vyombo mbalimbali vya Habari pamoja na mitandao ya Kijamii, Serikali ikathibitisha pia kuhusu msiba wa aliyekuwa-Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Mama-Celina Kombani-amefariki Dunia...
Kweli nimeipenda hii.
nadhani pia kupost kwa kingereza itasaidia watu kutoka njee wasioelewa kiswahili wapate kushiriki katika posts zitakazokuwa posted.
Kuwa unasoma kwanza hii ni news alert.
humu kwa jamii forum kuna watu tofauti tofauti kuna ambao wanapenda kusoma vitu kama hivi na wao wataiview sijakulazimisha kuisoma kaka BUSAMUDA naomba tuwe wastaarabu humu jamii forums sio kucomment tu.
Samahani lakini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.