Recent content by Paul Nyuti

  1. P

    Zitto Kabwe aivua nguo serikali ya Magufuli huko Ughaibuni

    Afadhali apewe madaraka Fisi kuliko kupewa Zito
  2. P

    Uchumi wa Tanzania unaelekea shimoni

    Wenye kujitambua na akili timamu ndio wanatambua nchi inasonga mbele , maana vitu vinaonekana kwa macho
  3. P

    Waziri wa Ardhi, William Lukuvi afunga ofisi ya Ardhi na Masijala ya jiji la Dar es Salaam

    Tunaomba tu Rais au Waziri mkuu waingilie kati suala la kungang'anywa viwanja wananchi hasa hapa Dodoma maana wakubwa wengi wanahamia hapa Dodoma wanamshawishi Mkurugenzi wa JIJI anyang'ange viwanja na kuwamilikisha wao sie wafanyakazi tumekopa kwa ajili ya kununua hivyo viwanja tunaambiwa...
  4. P

    Joseph Romani Selasini afanya kweli Rombo

    Mifuko mia ukigawa kwa kata 28 ina maana kila kata mifuko mitatu ya sementi na nusu inatosha kufanyia kazi gani jamani ni heri angejipanga na kuja upya haitasaidia kitu hiyo.
  5. P

    Kigoma: Zaidi ya wananchi 100 wa Jamii ya Wanyantuzu, wadaiwa kupigwa risasi na Polisi

    Wewe ni bendera fuata upepo tumia kichwa chako kujua mambo kwa fact sio kiushabiki , nadhani wewe unamapungufu ya akili kama unatumia akili vizuri utamjua zito ni opotunist na hana lolote zaidi ya usaka tonge acha ujinga kijana tumikisha kichwa.
  6. P

    Kigoma: Zaidi ya wananchi 100 wa Jamii ya Wanyantuzu, wadaiwa kupigwa risasi na Polisi

    Zito acha uongo watu wote hao hawana ndugu, toa basi hata uthibitisho wa picha za watu waliouawa au unaleta hadithi zako za uzushi za Mabilioni ya Uswisi halafu unashindwa kuthibitisha , na si mara kwanza unatoa uzushi ukibanwa unashindwa kuthibitisha .Serikali hii haiendekezi rushwa imekula...
  7. P

    New Barrick Group kuinunua Acacia

    Ik Iko siku dharau hizi utaacha baada kuona tumelipwa
  8. P

    Mkurugenzi Pangea, North Mara Kortini kwa utakatishaji fedha

    Unamjua vizuri, usidanganye watu bwana kuna watanzania hawatamani kumuona hata kumsikia kwa jinsi anavyowaumiza watanzania wenzake na kesi zipo hata mahakamani akitoa rushwa watu wadhulumiwe haki zako ni hawa watanzania wenzetu wenye viwanja kuzunguka mgodi
  9. P

    Umwamba barabarani wa maafisa wa Serikali mlioko Dodoma, unatumaliza kwa ajali

    Shida ni kuwa Madereva wengi wazoefu wameondolewa na vyeti feki ndio maana waliopo ambao ni vijana wanamaliza watu na kukimbia hovyo wakidhani ni ushujaa.
  10. P

    Bwawa la Stiegler's Gorge kuanza kujengwa na kampuni ya Misri

    W Wafananishwe na nyau hawa
  11. P

    TAA uwanja wa ndege wa Mwalimu Nyerere jioni hii ni aibu

    Washughulikiwe hawa, tunataka maendeleo wanaturudisha nyuma , ngoja tuwatumie meseji wakubwa.
  12. P

    Naibu Spika: Kitanda hakizai haramu, awashangaa wanaume wanaokwenda kupima DNA

    Sidhani kama unamjua naibu spika unazungumza uwongo mtupu, huyu naibu spika ana mume na watoto acha uzushi
  13. P

    RPC Dodoma kadhalilisha Jeshi la Polisi

    Ndugu yangu nadhani unatakiwa kurudi darasani maana unaonyesha ulivyo uwezo wako mdogo wa kuandika na hata kujieleza kwako(Your too low) aibu kabisa .Hakuna ulichoandika kuhusu huo udhalilishaji ulioupa hiyo heading.
  14. P

    UDADISI: Vikao vya kila mara BOT Mwanza na Ushirika usiopendeza wa Magufuli, Charles Kitwanga na Modestus Kipilimba

    Mtaacha lini hizi story za kijiweni(HAKUNA UKWELI WOWOTE <MAMBO YA KUTUNGATUNGA TU)-SHAME ON YOU
  15. P

    Urais wa John Magufuli ni mpango wa shetani kuvuruga taifa hili?!

    Watengeneza matukio hamchoki tu kusema uongo naupotoshaji ili muonekane na nyie mnaandika upupu. Magufuli yupo katika right track kuipeleka nchi katika maendeleo nyie ndio watengeneza maneno ili nchi isitawalike ,watanzania wamewajua nahamtowaweza kwa sasa.
Back
Top Bottom