Nataka nikuulize ww mitandao unatumia kufanya nn maana watz wengi ukiwemo ww bado ujajua matumiz ya mitandao yote haijalishi ni upi wenzako tunafanya biashara na tunapata pesa sasa ww kama unaangali picha na kutupia picha zako zakishamba ndiyo ujielew na kama ujajua Fb ndiyo mtandao unaongoza...
Ndiyo maana kunamuhubir mmoja alisema hizi bible tunazo ziifadhi kwenye mitandao na zile za asili kuziacha ovyo zitapotea kabisa na zile mnazotegemea kwenye mtandao nayo mitandao inafutika like now fb na instagram.Ni kweli angalia fb na insta imeyumba kidogo tu dunia inashake hii mitandao si...
Nilikasirika juzi natoka mbezi saa 3 nafika k.koo saa5 sasa hapo kuna mwendo kasi gani yaaaani naona waruhusu daladala zipite kule kwenye road za mwendo kasi hatutopatashida
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.