Life isn't about working hard, it's about working smart...hata katika biashara unapotafuta masoko ni lazima ufahamu "Targeted Audience" yako ni ipi.
Hata kwenye mpira kinachoangaliwa ni magoli mangapi yameingia wavuni,timu yenye magoli mengi ndio hushinda,hata kama timu pinzani ilikua na ball...
Hiki ndio kitabu kitakachokupa siri ya kukua kiuchumi,kibishara na mbinu za uwekezaji.
Bei ya Ofa ya sasa ni Elfu Tatu(3000) badala ya Elfu kumi bei yake ya kawaida.
Tunakutumia kwa njia ya WhatsApp au Email yako.
YALIYOMO NDANI YA KITABU HIKI
👇👇
✅Utangulizi
✅Yajue mambo 15 ili uanze...
Mimi naheshimu maoni yako japo SIKUBALIANI nayo....
Huo utafiti wa mzunguko wa pesa kwa watu wa mkoani umeufanya lini?
Hizi mindset za kwamba Dar ndio kila kitu zimesababisha watu wengi kuishi kwa kuunga unga hapa Dar.
Dar usipokua na nidhamu ya pesa utaishia kulipa kodi za nyumba na bill...
Nimewahi kuajiriwa na nimewahi kufanya biashara.
Nilikaa kwenye ajira miaka saba,sikuweza kuwa hata na nyumba ya kuishi zaidi ya kupanga na kuhangaika na kodi za nyumba.
Nilipoacha kazi na kuwa committed na michongo yangu kitaani saizi nina nyumba yangu nzuri tena ya kisasa,nimejenga kwa nguvu...
Kuna sehemu umesema "usipokee simu kwa wakati" acha ikatike halafu piga baadae... what if hiyo simu ni notification ya kukuepusha na hatari?
Yes point zako nyingi zina mashiko lakini Nyingine zinahitaji discussion zaidi
Ukiona unapata free service ukajihisi ni fursa kwako jua watoa huduma wanakuona wewe ndio fursa.
Ukiona bado Application zako nyingi kwenye simu yako unaletewa matangazo mengi jua unapenda kutumia vitu vya bure.
YouTube wana premium package nzuri haina takataka hizo za matangazo ya hovyo...
Its not always the fact...ume-generalize sana andiko lako.
Mimi nimefanya kazi ofisi ya Uma,kuna pisi zinatembea na maboss,na kuwa pisi nyingine zinajiheshimu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.