Pamoja na kwamba Simba tunakosa wachezaji wenye kiwango bora.... Pia Nina wasiwasi na ufundishaji wa kocha fadlu.... Anafundisha mpira mgumu sana.... Unahitaji wachezaji wenye vipaji mkubwa... Kuanza kushambulia kuanzia nyuma Kwa pasi fupi fupi... Hii inawapa timu pinzani muda wa kuwahi kurudi...
Mnaweza soma pamoja... Na msilingane umri.... Tena Kwa zamani hali hiyo ilikuwepo sana....wengine walikuwa wanachelewa kuanzia shule...wengine wanarudia shule na madarasa.....Makonda huyo huyo amesoma na dada yangu alizaliwa 1982..
Mkuu ... Kwa nini sasa usiwashangae hao G- 55 .... Kwa uamuzi wao wa haraka namna hiyo wa kuhama chama ndani ya Siku 70 baada ya uchaguzi.... Kama walikuwa kuwa kweli wanakipenda Chama.... Wangevumilia tu.... Siku 70 ni chache sana kudai kuwa uongozi mpya umewatenga.... Inawezekana uongozi mpya...
Kwanza kabisa hakuna biashara isio na hasara.....pili ni rahisi zaidi kupata hasara kuliko faida kwenye biashara ..tatu . ..ni rahisi zaidi kupoteza mtaji kuliko kutafuta mtaji...mwisho naomba tujadili kwanza nini maana ya kuyumba.... Kuna kuibiwa....kuna Kushindwa kulipa mikopo.... hasara za...
Kwa matokeo haya mabovu- Azam kabla hamjaanza ku- deal na bench la ufundi - pia mumfanyie tathimini na huyu CEO wenu Popati!
Amekaa muda mrefu, lakini ameshindwa kujenga timu Imara ya ushindani- licha ya uwekezaji makubwa kutoka kwa wenye Azam yao
Binafsi mm naona tatizo la Simba hii iliyocheza mechi tatu tukazishuhudia ni kwenye viungo wa ushambuliaji- Mukwala mikimbio yake inaonekana ni mchezaji mzuri tatizo anakosa huduma, yule Ahua na wenzie, bado hawajafanya Kazi kwa usahihi- kwa maoni yangu ni bora tuongeze kiungo wa...
Mkuu ww chukua chumba ukapumzike Lodge!
Nje ya kulala, Kuna issue za usafi kama vile kuoga, kubadili nguo na mambo mengine!
Kaa msibani mpaka muda wa kulala ukifika, nenda lodge!
Amka asubuhi na mapema nenda msibani.
Uko sahihi Mkuu, kwa uchezaji huu kama wa Leo, mwaka huu robo hatutafika, hapa makundi ndio mwisho wetu.
Viongozi wajitathimini, wakubali kuwa wameshindwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.