Recent content by Patrolida

  1. Patrolida

    Ufafanuzi wa hoja ya ujenzi wa reli SGR na hasara ya Tsh Trilion 1.7

    Unajua kiukweli hii nchi tunahitaji Viongozi wa aina kama ya Naibu Waziri huyu David Kihenzile, upotoshwaji mkubwa unapotokea juu ya gharama hatutaki kujibiwa tu kwamba ni ndiyo au hapana. Kwanza tujibiwe kwanini gharama zinaonekana ziko juu, sababu hii imeelezewa vyema na binafsi nimeafiki...
  2. Patrolida

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    https://www.instagram.com/p/Cy0PxKKrtm7/?igshid=MzRlODBiNWFlZA==
  3. Patrolida

    Miaka 3 ya David Kihenzile Aungana na Timu ya Ushindi ya Rais Samia Kuelekea 2025

    Nisiwe muumini sana wa siasa hizi za uchawa uchawa hazijawahi kuwa na matokeo mazuri na ni fedheha kwa umahiri wetu vijana wa Kitanzania. Lakini kiukweli kabisa, Huyu Jamaa Kihenzile ni kijana ambaye kama Taifa tunapaswa kumtegemea kwa umahiri wake na uwezo wake kiakili na mikakati. Binafsi...
  4. Patrolida

    Eti STAMICO wanauza Makaa ya Mawe tani moja kwa Tsh 60,000/= Mkataba huu Uvunjwe

    Naomba NiPM contacts za huyu Seller mkuu.
  5. Patrolida

    Uliza swali lolote linalohusiana na kampuni katika upande wa kodi na usajili

    Ninarun business name, nataka ibadili iwe kampuni kamili sasa. Utaratibu ukoje hapa?? Namaliza ORS online tu au lazima kwenda brela?
  6. Patrolida

    Abdulla Ali Mwinyi: Ninagombea nafasi ya Naibu Spika, tuziache mamlaka husika zitimize taratibu kisha Wabunge wapige kura

    Hii Tweet ya Maria Sarungi imenifikirisha mara mbili mbili, Hapa kuna shida kubwa sana na sikutemea mchakato huu uanze namna hii, Mh. Mwinyi huenda kashauriwa vibaya au ana overconfidence kupitiliza aliyopewa toka juu kuja kuzalisha drama zote hizi. Kiukweli mchakato huu unahitaji utulivu...
  7. Patrolida

    Nahitaji Fundi Mzuri wa Mitambo

    Habari Wakuu, Nina uhitaji wa Fundi mzuri na mwenye uzoefu anayezijulia Hydraulic based machines hasa upande wa Transmission na Engine kwa Grader, Excavator, Compactor n.k 🙏🏽🙏🏽
  8. Patrolida

    Kwanini tunalazimishwa na Rais Samia Suluhu Hassan kuwa tupo Awamu ya Sita wakati Kiuhalisia bado tupo Muhula wa Pili wa Awamu ya Tano?

    Mkuu katiba imezungumza kipindi na wala haijaspecify awamu mahala popote pale.....
  9. Patrolida

    Vijana watano (below 40 years) wanaofaa kwa nafasi ya Katibu Mkuu CCM taifa

    Leo nitawaongelea vijana watano (5) Wenye Umri chini ya Miaka 40 ambao naamini wanafaa kwa nafas hii kubwa kabisa nchini. Nimeona nijadili vijana kwa sababu utawala wa JPM umejielekeza zaidi katika kujenga Taifa imara kiuchumi na vijana ndio nguvu kazi ya Taifa. Inawezekana wasipate lakini...
  10. Patrolida

    Marekebisho ya Sheria ya RED-CROSS TANZANIA Yampe Somo Dkt Nangale.

    Kwetu wengi ambao tumo kwenye Chama cha Msalaba Mwekundu kwa miaka 20 sasa jina la Dkt George Nangale si geni labisa. Alikuwa mweka hazina kwa kipindi cha 2006-2013 na baadaye akawa Rais mwaka 2013. Kwa wanaaokumbuka vizuri pale Mwanza ulipofanyikia uchaguzi Mkuu mwaka 2013 George alibebwa kwa...
Back
Top Bottom