Hapo umekurupuka Bro Joti hatetei ushoga anacheza scene za kuonyesha mambo ya wanawake lkn si ya ushoga.Yeye ni msanii sawa lkn anaact kuwasilisha nini hilo ndo suala la msingi .
Balton wasanii sana mimi ni mdau mzuri sana wa Irrigation system Nimejaribu kuwatafuta tuweze kufanya Joint Venture lkn wapi hawapokei simu zangu email hawajibu website haijawa updated kitambo hicho....Shame On them
Naombeni pia msaada wadau simu yangu haipokei simu wala kupiga kwenye whatsapp inaniletea msg call couldn't connect wakati mara ya kwanza ilikuwa freshy Nimejaribu Ku update lkn wapi,,
Mwasilisha mada uelewe hakuongea vile Kwa sababu ya kuangalia umri alikuwa anatoa order kama kiongozi ...suala la kusema sijui haikuwa vizuri mi sioni tija yake after all hii nchi imefika hatua viongozi lazima wawe makauzu ili mafisadi wasiendelee kutafuna mali za walio wengi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.