bendee
Senior Member
- Feb 21, 2013
- 111
- 146
- Thread starter
- #41
unaposema paka kamwaga mchuzi na unaposema mchuzi kaumwaga paka nafikiri ni yale yale lkn muundo tuu wasentesi nitofauti! ila inawahitaji watu wenye upeo mkubwa kuweza kujua hilo! so zinduka na uanze kufikiri nje ya boksi!He's a man anaigiza Kama mwanamke sio Kama shoga